Recent content by chandeka marwa

  1. chandeka marwa

    Je ni haki kwa mafundi ujenzi wanaojenga nyumba za serikali kwa force account kuzungushwa katika malipo yao??

    Mimi ni fundi ujenzi (majengo) katika wilaya X ninajenga na kufanya kazi za serikali kwa njia ya force account lakini ikifika swala la malipo ninazungushwa sana mara taarifa zinakuja eti kunamaboresho ya mfumo sasa yapata miezi mitatu tangu marekebisho yasemekane kwani hayaishi?? Maana...
  2. chandeka marwa

    Natafuta ajira ya ujenzi wa majengo

    Kule nishaomba ila matokeo bado hayajatolewa .
  3. chandeka marwa

    Natafuta vijana kwa ajili ya kufanya Delivery, Dar es Salaam

    Mkuu mimi naweza kuwa miongoni?? Nahitaji kazi na pikipiki naweza kuendesha
  4. chandeka marwa

    Natafuta ajira ya ujenzi wa majengo

    Mimi nina ujuzi wa ufundi ujenzi nimesoma Veta kwa miaka mitatu, nimefanya kazi mtaani kwa muda wa zaidi ya miaka mitano kwahiyo nina uzoefu. Nasoma ramani, nachora ramani za majengo na pia nadesign ramani za majengo, natafuta ajira iwe kwenye taasisi au mtu binafsi 🙏 🙏
  5. chandeka marwa

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Mwenye connection kule bomba la mafuta tanga anisaidiee
  6. chandeka marwa

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Natafuta kazi ya ujenzi jamani mimi nimesoma ujenzi(masonry &bricklaying) miaka miwili. Kazi zote za ujenzi nafanya
Back
Top Bottom