Recent content by chamtemamoto

  1. chamtemamoto

    INAUZWA Vitu vinauzwa, Mmiliki anahama

    Tv ni aina gani?
  2. chamtemamoto

    Vunja Bei SmartPhones: achana na bei za zamani sasa Bei imepoa:

    iPhone 7+ 64 gb shilingi ngapi
  3. chamtemamoto

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    Galaxy C7 64 GB bei gani
  4. chamtemamoto

    Pata Simu kali kwa bei nzuriii. ( best smartphones @ affordable price)

    Baada ya note7 kulipuka sasa nimeshikwa na Iphone 7plus 256gb ila nasubiri ipoe kidogo, lakini kabla haijapowa naombeni msaada wa kiufahamu ni kwanini simu za iphone zinauzwa bei gali kuliko sim zote wakati kwenye ram wako nyuma kila toleo? kwa mfano galaxy s7 edge 4gb ram, iphone 7plus 3gb ram
  5. chamtemamoto

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    Mukumbwa Kwa bei zako umenishika, nasubiri NOTE7 nikutafute.
  6. chamtemamoto

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Huyu mzee hazeeki akili
  7. chamtemamoto

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Sikusudii kujiunga na chama kingine chochote by Kingunge...
  8. chamtemamoto

    Wanachama bandia Wakamatwa wakielekea Makao Makuu ya CHADEMA; Waandishi wa UHURU na STAR TV wapigwa!

    Wapigwe tu maana polisi tulishapiga marufuku maandamano.
  9. chamtemamoto

    PICHA: Gwajima Akimwaga Upako kwa Dr Slaa na Josephine

    Niliyoyapenda kwenye hotuba ya Ngwajima 1.Ni nini kinachosumbuwa? Kinachosumbuwa ni wakati na majira. 2.wakati wa baridi watu wanavaa makoti, sio kwamba unavaa koti ili iwe baridi, unavaa koti unajiajast na weather 3.Majira ya mtu yakifika huwezi kushindana naye...
  10. chamtemamoto

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Unachanganywaje na propaganda uzushi fitina na uongo? Usitumie kichwa cha mtu mwingine kufikiri na kuamua, tumia cha kwako, na utawabaini mbwa mwitu waliova ngozi ya kondo.
  11. chamtemamoto

    Nataka kubadili dini naogopa wazazi wangu

    Imeandikwa wapi mwenye kubadili dini asijinadi JF?
  12. chamtemamoto

    Nataka kubadili dini naogopa wazazi wangu

    Chemsha bongo, imeandikwa wapi kujinadi JF ndio unafiki?
  13. chamtemamoto

    Mada moto Channel 10: Edward Lowassa ndani ya UKAWA. Polepole amfananisha na malaya...

    Kama unajuwa ni list kitu gani kinakusukuma kuangaika na mtu mmoja badala ya kuangaika na list of shame?
  14. chamtemamoto

    Mada moto Channel 10: Edward Lowassa ndani ya UKAWA. Polepole amfananisha na malaya...

    Ufisadi hapa si ishu, kama Lowassa ametimiza vigezo vyote vya kisheria vya kuwa mgombea wa kiti cha urais hana hatia, na kama polepole na wengine wameshindwa kumuwekea zuio la kisheria mahakamani au nec ili asigombee, hawana hoja wala ushaidi wa madai yao ya ufisadi, ni MAKASUKU TU HAO...
  15. chamtemamoto

    Tuwaogope waandishi wanaogawa wananchi kidini tunapoelekea uchaguzi Mkuu

    Waluteri kidedea, Wakatoliki waanguka, Waislamu njia panda.
Back
Top Bottom