Recent content by Chambusojunio1

  1. Chambusojunio1

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Renyo,bado haujanichekia audi A3 ? Ya mwaka 2000-2008 ,km less than 80000
  2. Chambusojunio1

    Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

    Acha udini wewe ,mungu wa warabu maana yake nini ? Mungu ni mmoja ni mungu wa wote
  3. Chambusojunio1

    Ufahamu umwagiliaji wa matone (drip irrigation system)

    Heka moja ya tikiti maji kiasi gan unaweza pata minimum ?
  4. Chambusojunio1

    Jifunze namna ya kutumia Tsh 300,000 kama mtaji wa kufugia kuku

    Nimehamasika sana na biashara tatizo soko la uhakika la kuuzia hao kuku
  5. Chambusojunio1

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Mkuu Suzuki carry iliyopo kwenye good condition kiasi gani
  6. Chambusojunio1

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  7. Chambusojunio1

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Renyo ,vipi salama ? Audi A3 ya mwaka 2005 mpaka 2008 inaendaje , km sio zaidi ya laki
  8. Chambusojunio1

    Tushirikishane Cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa bila stress

    Yes ,nimejaribu nimeregister ikanipeleka mpaka ktk group la telegram lkn Ku join ikakataa ikasema limejaa
  9. Chambusojunio1

    Tushirikishane Cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa bila stress

    Vipi kama unataka kununua ripple coin ? Nawezaje kununua ?
  10. Chambusojunio1

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Msaada kaka ,Mimi nimekwama kufanya analysis kupata resistance and support
Back
Top Bottom