Ubaguzi utawafumba Macho na Masikio ASA wana CCM, na kusema vyombo vya nje vinapenda kuandika mabaya tu. lakini kilicho andikwa kwenye Post hiyo ni kweli tupu. Alianza vizuri, akalewa sifa sasa anaenda vibaya.
Leo ndio nimeamini katiba, inayo tumika ni ya Ccm. Katiba inamtaka CAG kukabizi Taarifa kwa Raisi badae Bungeni ili ijadiliwe, na sio Serikali ya ccm. Polepole kazibitisha katiba ni ya ccm.
Kumondoa madarakani Raisi, ni njia mbili tu. Bunge na kufukuzwa na Chama chake. Bungeni inatakiwa kura ya kutokua na imani nae, isiopungua serusi mbili ya Wabunge wote. Kumfukuza chama kwa Ccm, ni mkutano mkuu tu, kwani yeye ni Mwenyekiti wa ccm, Taifa. Yote hayo hayawezekani kwa sasa kwani...
Safi sana, lakini wajue kua wao ni Watete wa haki za Binadamu sio Watetezi Binadamu maarufu. Kuna watu wengi sana hua wanashiliwa na Polisi, kwa ata kufikia Mwezi bila kufikishwa Mahakamani. Wao wanakalia kuangalia kesi au Watu maarufu tu.
Mzalendo namba moja hawezi kualibu kodi za Watz, kwa kufanya uchaguzi kila baada miezi 2. Mzalendo namba moja angewashauri, wamuunge mkono wakiwa hukohuko, mpaka 2020, ndio akawachukua. Ili kuokoa hela za Watz.
Watu waki za Binadamu, waunde tume ya kufuatilia Wafugwa wote alio wafunga wakati alipokua jaji. Kwani naamini atakua aliwahukumu kimakosa. Jaji gani wa hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.