Recent content by CHAKAMWATA

  1. CHAKAMWATA

    Sengerema: Bwana afya Wilaya ya Maswa ameifunga Shule ya Sekondari Mwabayanda

    Ni taarifa ya kusikitisha kwa wapenda maendeleo, lakini pia ni funzo kwa watawala wetu sababu viongozi wengi wameshindwa kutumiza majukumu yao zaidi ya kusimamia kutumbua majipu na vipele na kuyafumbia macho masuala ya msingi kama haya kwa ustawi wa Taifa letu. Je mkurugenzi anafanya nini?Afisa...
  2. CHAKAMWATA

    Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAMWATA)

    Kwa niaba ya Viongozi Taifa, Tunalichikuwa mawazo yako kama changamoto kwetu, lakini pia NIWAHAKIKISHIE WALIMU TANZANIA KUWA CHAMA KIMEJIPANGA KUWATETEA NA KUISIMAMIA SERIKALI HASA PALE INAPO KIUKA SHERIA ZA UTUMISHI WA UMMA. NA CHAMA TAYALI KIMEPELEKA HOJA ZAKE SERIKALINI NA MAJIBU...
  3. CHAKAMWATA

    Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAMWATA)

    Chama cha wafanyakazi kipo kwa mujibu wa sheria za utumishi wa umma na kanuni zake, kisheria vinajulikana kama Trade Union, na ndani ta sector moja ni ruksa kuwa na chama zaidi ya kimoja ili mradi kimesajiliwa na kinatambuliwa kisheria, mfano; kenya kuna vyama vya walimu zaidi ya kimoja...
  4. CHAKAMWATA

    Nisaidieni, hivi mwalimu anaruhisiwa kujiunga na chama kingine cha walimu tofauti na CWT?

    0756204568 namba ya Katibu Mkuu CHAKAMWATA, wasiliana nae kwa msaada wa haraka na uhakika
  5. CHAKAMWATA

    Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAMWATA)

    wilaya tuna ngazi ya mwenyekiti , na msaidizi, katibu na msaidizi. Ila pia kuna taratibu chama kinafuata ili kupata viongozi ikiwa ni kukwepa mamluki hasa kutoka CWT. Cha msingi Taja halmashauri yako na mkoa then Mratibu mkoa au katibu Taifa akijiridhisha nawe utateuliwa.Ila kwa asilimia kubwa...
  6. CHAKAMWATA

    Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAMWATA)

    sawa, nitaku Sawa mkuu, nitakutumia mfano wa barua ya kujitoa na form ya kujaza na mahara pa kuzipeleka, kama uko halmashauri ambako chama kipo active (maana bado hatujafika maeneo yote, japo tunasambaa kwa kasi) ni kiongozi wa chama atakuongoza zaidi.
  7. CHAKAMWATA

    Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAMWATA)

    Tumepata hiyo changamoto, tunajaribu kuupload tena mkuu.Asante sana
  8. CHAKAMWATA

    Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAMWATA)

    Tupo tunaandaa list ya majina ya Viongozi wetu kwa maeneo tuliyofika na mawasiliano, soon tuta upload mkuu, ili iwe rahisi kuwasiliana na kiongozi uhusika wa mkoa au halmashauri yako.Asante sana
Back
Top Bottom