pamoja na kuahirishwa kutokana na kifo cha ngombea lkn kwa ngazi ya bavicha uchaguzi ulikamilika kabla ya habr ya kifo na kamanda tishio Maghembe kuwa m/kit mpya Wa bavicha muheza.
camanda huyu amejitoa sana ktk ujenzi Wa chama na leo hii ukizungumzia chadema muheza basi jina la riziki Maghembe...
ndg wanajukwaa naskitishwa na baadha ya watu na wengine Wa karibu kabisa wanasema et Ephraim kibonde kuwekwa lockup baada ya kusababisha ajali na makosa mengine ya kitrafiki ni fundisho kwake tena akome kabisa.
swali : kwani shida hasa ya huyu mtangazaji ni nini mpaka baadhi ya watu kufurahia...
Jana nilipita mtaa flani hapa dar nikakuta makahaba wakijiuza nikashindwa kuwatofautisha na wadada zangu vyuoni jinsi walivyovaa. sasa bodi imegoma mpaka Leo msomi mdada kutumika na bodaboda kwa chips jioni na chai monie na pasi ndefu mchana inashindkana? kwa masela kutumika kisiasa acha mbali...
baada ya kamanda riziki Maghembe kuonyesha jinsi chadema inavyokua muheza najua ccm mmechukia sana..ukweli ni kwamba jimbo la muheza linarudi kwa wananchi sasa baada ya miaka mingi ya utumwa ya mbunge kilaza Wa sasa mtangi.
mtangi uliahidi maji muheza mpaka Leo huonekani watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.