Recent content by CHAKA CHUWA

  1. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Korea kusini kujjenga daraja kutoka aghakhan hospital hadi coco beach kupitia baharini kikwete anena
  2. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Kikwete aahidi kujenga train kwa ajili ya usafiri wa dar na flyover kwenye makutano mbali mbali ya barabara
  3. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Hata newyork marekani kuna foleni balaaa
  4. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Kikwete asema foleni nyingi zinawafanya watu wasitimize miadi yak kwa wakati
  5. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Kikwete anahoji kwanini ujenzi wa mabasi ya kaskazini kinachotakiwa kujengwa tegeta bado kuanza
  6. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Mbunge wa kawe Halima mdee jukwaa mkuu akijumuika na viongozi wengine wa serikali
  7. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Mhe.rais anaipongeza serikali ya Japan kwa msaada yako kwa watanzania
  8. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Katibu mkuu anamkaribsisha mhe.rais anapanda jukwaani sasa msondo wanatumbwiza mhe rais naongea na wananchi mhe.rais anamchukuru waziri wa ujenzi kwa kumialika kwenye shughuli hii
  9. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Ubungo kujengwa flyover pamoja na kujenga daraja la surrender
  10. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Katibu mkuu anaendelea kwa hotuba yake kwa kuwashukuru Japan kwa misaada yao kwa Tanzania
  11. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Sasa kapanda jukwaani Katibu mkuu wa wizara ya ujenzi Eng. Mussa Iyombe anatoa hotuba yake kwa mhe.rais kwa niaba ya waziri wa Ujenzi mhe.magufuli ambae leo anahudhuru
  12. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Mkuu wa mkoa anamaliza kwa kushukuru japana kupitia jica kwa kazi nzuri na wasichoke.mkuu wa mkoa anaomba wale wote wanaharibu miundombinu ya barabara kuacha mara moja Kuwait huu Si uungwana kabisa katolea. Mfano barabara ya drt
  13. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Mkuu wa mkoa anaomba barabara ya kutoka wazo hill Goba itaafutiwe fedha
  14. C

    Dar es salaam: Kikwete kufungua barabara ya Mwenge - Tegeta

    Mkuu wa mkoa anasisitiza barabara ya mwenge hadi Morocco ianze kujengwa haraka
Back
Top Bottom