Mbona mtoa mada unacomplicate, push mobile wanachofanya wanaangalia namba ambazo znazosoma kwenye minara yote ya makongo na kawe kiujumla wakati wa peak hours, so zile znazosoma frequently zinaashilia we ni mkaz wa hapo
Yani huyu jamaa huwa namshangaa huwa anaongea kama ye ndo chama pinzani mfano ajenda ya majimbo ya CDM ni mradi wa wakubwa maneno kama hayo yalitakiwa yatajwe na chama pinzani anaongea kana kwamba CDM wameshachukua nchi na kuanzsha mfumo huo.... huyu jamaa alipaswa kuwa baloz wa nyumba kumi sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.