Recent content by Chai na Maharage

  1. Chai na Maharage

    Nachoka sana baada ya tendo la ndoa

    Nenda hospitali kapime sukari,
  2. Chai na Maharage

    Aga Khan Hospital ni jipu hii nchi. Gharama za matibabu kubwa sana!

    Although dawa ni ile ile lakini concentration ni tofauti ndo maana utaona na bei ni tofauti nilishawah kupewa dawa Mwananyamala nioawa natumia lkn sipati unafuu nikaenda Aga Khan nikapewa dawa hiyhiyo ila kiwanda kingine then nikamuuliza Dr inakuwaje akaniambia tatizo ni ile nguvu ya dawa...
  3. Chai na Maharage

    Geita: Ajiua kwa kujinyonga baada ya kumuua mwanaye kwa kumnyonga

    Halafu imetokea mkoani kwake kabisa, labda atabadili msimamo
  4. Chai na Maharage

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    I Thanks God kwa kutumia mashoto, Uzi huu una relate na mambo yangu mengi sana
  5. Chai na Maharage

    Kiwango cha juu vha pesa wakati wa kusafiri nje ya nchi

    USD 10,000 kwenda mbele lazima u declare kuna form utajaza pale ofisi za TRA Air Port
  6. Chai na Maharage

    Je, ni sahihi watu wa dini nyingine kuwafuturisha Waislamu?

    Kuna aya niliwahi kuisikia kwenye Quran kuwa Mkristo siyo adui wa Muslims na sasa kama Mkristo siyo adui wa Muslims inakuwaje tena anakuwa kafiri
  7. Chai na Maharage

    Happy Birthday Maxence Melo

    Happy Birthday Melo, keep on, hakuna kurudi nyuma Be Blessed
  8. Chai na Maharage

    ARUSHA: Watu 2 wafariki papo hapo... Ni katika Mashindano ya magari

    Media moja ya Kenya jana ilisema katika hiyo ajali RAIA 8 wa Kenya nao ni miongoni mwa waliofariki
  9. Chai na Maharage

    Ubongo wa mwanamke haupevuki

    Hivi unatakiwa uishi kwa akili na mwerevu au mjinga,? Think
  10. Chai na Maharage

    Kwanini hamna magari ya kuzoa takataka Masaki na Oysterbay?

    Mwananyamala, sayansi hii ni wiki ya nne hawaonekani, ule mkakati wa Bashite sijui uliishia wapi hakuna mission hata moja ya kwake inayokuwa accomplished sijui kwa nn
  11. Chai na Maharage

    Rais Magufuli aliambia Jeshi la Polisi kuwa, kuna maswali mengi kuhusu sakata la kutekwa Mohammed Dewji

    Kama MTU anatafutiwa sababu ya kumng'oa sijui ni Siro au mzee wa mabendera ya Taifa time will tell
  12. Chai na Maharage

    Tuzungumzie matatizo ya figo

    Asante kwa elimu ya figo, this is the best of the best thread
  13. Chai na Maharage

    TUNDUMA: Matrafiki wapigana na Dereva wa Fuso

    Kwa hiyo kama anamakosa matraffic wanaruhusiwa kumshushia kipigo , tatizo hawa jamaa wakivaaaga hivo vi sare zao wanajionaaaaaga kweli kweli utadhan wameshukatoka Sayar nyingine, wanasahau na wao no watanzania kama sisi tens choka mbayaaaa kuliko sisi, Huwa nawashangaa sana wanashindwaga...
Back
Top Bottom