Recent content by Chagulaga30

  1. C

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Je kuna jambo zito linakuja hivi miezi michache? au tuendelee kungojea mpaka 30, maana ulisema kwenye nyuzi zako zilizopita kwamba kuna mambo yatatokea na BT ana tape ya matukio mbalimbali ambayo kama ikiachiliwa inaweza ikatia doa kampuni !!
  2. C

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    yoga upo salama kweli? Tusalimie walau kwa maneno machache, tuondoe hii hofu, maana sio kwa kimya hiki !!!!
  3. C

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Ndugu zangu, niliyoyaona usiku wa leo yamenipa wasiwasi na hofu, nimeona nisikae kimya niwaambie na nyinyi, huenda kuna baadhi hapa mpo vizuri kwenye mambo ya ulimwengu ule usioonekana. Ndoto ya kwanza niliona kundi kubwa la watu wakiwa na viongozi wa juu kabisa wakiongea na kundi hilo mara...
Back
Top Bottom