pita pita zangu nimeshakaa na watu wengi wenye busara zao, nikijaribu kuwahoji juu ya uchaguzi majibu mengi ni magufuli, haswa wanafunzi wa chuo, nilifarijika saana maana pia nilijaribu kuwahoji kwanini sio mamvi, majibu niliyopewa kwanza, wamekubali ,magufuli ni mchapakazi, pili wanatazama...