Kwa kila namna taifa limepasuka. Matajiri na wenye mali ndio wanaofaidi taifa hili. Watoto wa masikini wanauza mahindi ya kuchoma na karanga ili waende shule. Watoto wa matajiri na wanasiasa matajiri wanasoma shule zinazoitwa za njano.
Siasa za taifa letu zimegubikwa na rushwa , upendeleo na...
Zamani watu waliokuwa wanaishi Mwanza walikuwa na hali ya amani na upendo wa juu.
Watu wa maeneo ya Mwanza ya zamani walikuwa wakifahamiana karibu kila mmoja. Mfano vijana wa kirumba ,kitangiri na Nyamanoro walifahamiana na walikuwa wanajuana kwa kila namna. Iwe kwenye michezo, misiba na hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.