Recent content by chadisimon

  1. C

    Ni rahisi kuwa Rais wa Tanzania kuliko kuwa baba wa Familia

    mtumbua majipu ya usaniii
  2. C

    Wauza smartphone tukutane hapa

    nahitaji smart phone type startimes
  3. C

    Kitu gani kinachosababisha gari kuungua kwa kasi mpaka abiria kushindwa kufungua mlango kukimbia?

    rangi za magari zinazochanganywa na tina!!! wiring ambazo zinachukua moto kwenye betry na kusambaza haraaaaaka saaana!!! oil upepo wa kusambaza kataka mafuta ya gar na pipe zake matairi pia yanawaka moto vizur nk
  4. C

    Kipi bora kuoa au kutokuoa? Kuolewa ama kutokuolewa?

    usipoooa au kuolewa utakuwa watoto wasio na walez pande zote!!! yaaan kuwad au kahaba
  5. C

    Nahitaji Suzuki Carry kwa kukodi; Nitalipa 600,000 kwa mwezi

    Kwann namba iwe D na ulipe laki 6??? Means elfu 20 kwa siku!! Kwann namba A hutaki
  6. C

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Hongera na asante kwa ushaur ila naona bado upo ndotoni!! Ukiamka uta analyse uliyo yaota
  7. C

    Mbeya - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kiongozi wa Rungwe kujijengea hotel yake na c ya jimbo la rungwe au ya serikali ...... Ndo maendeleo???? Hospital ya mkoa au wilaya ikoje?????? Vitanda na wodi za wazazi zikoje..??? Mifumo ya maji vip????? Stand ya rungwe iko kiwango gani????? Soko na masoko yana hali gani???? Madarasa na...
  8. C

    Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

    Mfumo mmbovu ndo tatizo!!! Watz wana majonzi kila kona wakidhan mabadiliko yalishaa wafika?!!!! Kuhesabu kura kwa tochi ya tecno cyo maendeleo..........
  9. C

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    February ndo atakuwa zaziri mkuuu:screwy::banghead::banghead:
  10. C

    Ipe Maneno ,Picha Ya Leo

    Mungu anakijua kilio chako bibi usihofu
Back
Top Bottom