Recent content by chademaone

  1. C

    ubabe sio deal

    "UBABE SIO DILI" Jamaa alinunua soda,kabla ya kuinywa,akaitazama kwa zaid ya dk 20.Mara akaja Baunsa akaichukua ile soda na kuinywa. Jamaa akanza kulia, Baunsa akamwambia usilie nitakulipa. Jamaa akajib hilo sio tatizo.Leo mi nina mikos tu, asubuh nimefukuzwa kazi,natoka nje ya ofis,gari langu...
  2. C

    mtambo wa gongo

    JAJI: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo. MTUHUMIWA: Lakini ni mitambo tu siyo gongo mheshimiwa! JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa!. MTUHUMIWA: Basi nihukumiwe kwa kosa la kubaka. JAJI: Kumbe ulibaka pia? MTUHUMIWA: Hapana ila hapa ninacho kifaa chakubakia...
  3. C

    vituko uswazi

    USWAZI noma!! Mama KIDAWA Ni Mjamzito, Hawezi Kumpa Mumewe Penzi. Akamwonea Huruma Kwa KIU Aliyo Nayo. Akampa elfu 5 Akamwambia Akatulize Kiu Kwa ASHURA. Jamaa Kufika ASHURA Akamtolea Nje, eti hela ndogo. Mama KIDAWA Akaja Juu Akamwambia Mumewe, "Usikonde! Nenda Kwa MAGE, ni mtu Wangu...
  4. C

    Nani kabakwa nanyan?

    hiki nini hakieleweki
  5. C

    Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

    pole sana heaven on earth
Back
Top Bottom