Recent content by chad manyota

  1. chad manyota

    Mwenye nyumba yangu alipotea hata ndugu zake siwajui, sasa nimejenga kwangu, Je niendelee kupangisha?

    Unayetaka ushauri kwanza tuanze na hiyo nyumba tupeane mawasiliano ili mm nikae hapo halaf ww nenda kakae kwenye nyumba yako kuhusu mweny nyumba tutajua siku akirudi
  2. chad manyota

    Mwamposa: Namshukuru Rais Samia

    Kaangalie mwendokasi ya mbagala kama imekamilika Uchawa nchi hii hautakuja kuisha
  3. chad manyota

    IGP Camillus Wambura: Rais Samia umefanya mambo ambayo yalitakiwa kufanyika kwa Miaka 50

    Mwanaume kuongea hivyo ni aibu hayo mambo wafanye wakina halima mdee
  4. chad manyota

    IGP Camillus Wambura: Rais Samia umefanya mambo ambayo yalitakiwa kufanyika kwa Miaka 50

    Duuu miaka 50 kuna mwendokasi ya mbagala ile tangu 2020 haijakamilika au unasemea wale vyura kule marekani wa B6 wanaofugwa ....MY COUNTRY PEOPLE ........ MCHAWI MPE MWANAO AKULELEE😀😀
  5. chad manyota

    Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Iko wapi demokrasia yetu au nchi inaongozwa kidikteta now...ukikemewa uovu anatafutiwa mtu sababu
  6. chad manyota

    IMF kuipa Tanzania ufadhili wa takriban Tshs Trilioni 1.18

    nothing come for free.....kuna mwenyekiti haonekani huko anatafutwa......mama mitano ten
  7. chad manyota

    PreGE2025 Waandishi wa Habari Mbeya walilia bahasha za khaki toka CCM!

    ungeweka jina katibu mitano tena😀😀😀
  8. chad manyota

    Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

    Polisi unavaaje pensi vile au inaruhusiwa na wanatumiaje gari ya aina ile maana magari yao yanafahamika
Back
Top Bottom