Kweli Mama Jenister bwana wake alifia Peramiho hosp miaka kama sita au saba iliyopita. Assured. Well, kwa unafiki hajambo, ukifanya nae kazi akiona ameshamaliza alichikiitaji huwa hapendi ushahidi. Anakulipua na yeye kusonga mbele.
Haujafeli kila kitu jamani. Hamuoni, bombardia hewani, huoni vyakula vikisambazwa(japo walikana hakuna njaa) huoni wapinzani wakishugulikiwa kama majangili, huoni bunge likiwa chini ya Rais, huoni majipu yakitumbuliwa bila chumba cha upasuaji, mhhhh! Huoni maagizo ya ikulu yakiwa ndo chachu ya...
Haujafeli kila kitu jamani. Hamuoni, bombardia hewani, huoni vyakula vikisambazwa(japo walikana hakuna njaa) huoni wapinzani wakishugulikiwa kama majangili, huoni bunge likiwa chini ya Rais, huoni majipu yakitumbuliwa bila chumba cha upasuaji, mhhhh! Huoni maagizo ya ikulu yakiwa ndo chachu ya...
Ninachojifunza hapa ni kwamba wateuliwa wa Rais wanafanya kazi kwa uoga bila kutumia akili zao rather wapo kwa remote control ya bwana mkubwa. Upinzani wakisema kuna tatizo lolote, lazima serikali ipinge ila as days go wanaanza kulifanyia kazi. Upinzani kusema kuna njaa nchini haraka serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.