Waziri Charles Tizeba Live ndani ya 360 kuelezea uwepo wa chakula nchini

sijui ni nchi jirani wameturoga, uongozzi huu hautadumu kwa sarakasi hizi
 
Nguvu ya Kanisa Katoliki... Wasiishie kujinadi ba hizo tani, tunachotaka ni kuona hizo tani zinasambazwa...
 
Ninachojifunza hapa ni kwamba wateuliwa wa Rais wanafanya kazi kwa uoga bila kutumia akili zao rather wapo kwa remote control ya bwana mkubwa. Upinzani wakisema kuna tatizo lolote, lazima serikali ipinge ila as days go wanaanza kulifanyia kazi. Upinzani kusema kuna njaa nchini haraka serikali imegoma ila as days go, wanasambaza chakula si uhayawani huu jamani. Naona sasa maamuzi hakuna kila wizara imekaa kimtego mtego. Maprofesoo wetu walioteuliwa nao wamekuwa zezeta niseme, why cant they stand up and shout for the sake of the nation? Inaniuma sana
 
The current food shortage situation in Tanzania is appalling....that is the reason people have been in a compendious laconic lacuna. Not a recapitulation..But let me tell you this..that it is lecah and pulchritudinous. That in a lekgotla, in an imbizo, flagitious and enervating the matters where as cogitately ruminated.

We have all seen it how the recidivistical politicos move from budget disappearance to budget doctoration. Now we are farced with a debilitating, exasperating, a rebarbative and humongous food shortage. And these shortage is emanating with financial Lobotomization...but we pray that this will not ignite a clamorous remonstration and even come to think of it...how dare they deplete the citizens of their obstreperous and vociferous modus vivendi??

Enough of this vilification and solipsism...this is execrably pugnacious, pestilential and attenuating. Imagine the imbibition of political rodomontades which has kept us in abject ululation.... why??

Now Tanzania is in a political somnambulism and malocclusion. Tanzania is in financial and economic bantingism..Look at the way the game politics is becoming a pokable..what a political holy bully..what a political hoity toity..what a political foodie doodie...what a political hocus pocus they have come with..what a political jabberwocky..what a political poppycock..what a political gobbledygook????????

With this concatenation, we ask mukulu to accept our pertinacious circumlocution.. Accept our pertinacious circumambagious grandiloquence and magniloquence..

But let me tell him this, we will not kowtow in his poohoo..we will refuse to kowtow in his poohoo

THANK YOU
 
Hivi nini tafsri ya njaa? Huenda mm naelewa tofaut lbda
Njaa = ukosefu kabisa wa chakula hivyo watu hawana chakula. Watu hawali kabisa, wanashinda bila kula na wana dalili za utapiamulo. Wengi wanakufa kwa utapiamulo na hasa watoto chini ya miaka 5. Familia zinasambaratika. Wakina baba kukimbia familia zao kwenda kusiko julikana kutafuta chakula na mara nyingi hawarudi. Hali ya namna hiyo ni janga la baa la njaa na msaada wa kimataifa huhitajika kuokoa maisha ya waathirika. Mfano huko Somalia.

Tanzania kwa sasa hatuko stage hiyo. Kuna upungufu wa aina fulani fulani tu wa vyakula, kitu ambacho ni kawaida kwa miezi hii. Hasa hasa ni upungufu wa mahindi. Vyakula vingi viko tele. Hata maembe ni chakula. Sasa mtu unakuta analalamika oh nimeshindia maembe, tuna njaa. Yaani kwa kuwa baadhi ya watu wameshindwa kula vyakula wavipendavyo hususani pilao basi kuna baa la njaa Tanzania? Ukishindia uji au mihogo kuna baa la njaa. Utasemaje kuna baa la njaa wakati watoto wala wakubwa hawana dalili zo zote za utapiamulo hata kama wameshindia senene na wadudu wengine?

Haya masuala ni ya kitalaamu. Tusipende kufanya siasa kwa mambo ya kitalaam. Siku hizi sijui tumepatwa na nini watanzania. Yaani watu wamekua wanazua majanga kila kukicha na kuyatangaza wakati wala hawana mamlaka ya kutangaza majanga. Mara janga la kufilisika hazina ya serikali, mara janga la Zika na sasa janga la baa la njaa. Halafu huwa wanayatangaza wakiwa wanafuraha wakidhani wanamkomoa mtu, tasisi au chama fulani. Huu ni ujinga au upumbafu kabisa.
 
Mahitaji ya chakula ni tani mil 13, serikali ilikuwa na akiba ya chakula tani mil 16, bado tumebakiwa na tani mil 3.

Mwaka jana tulikuwa na halmashauri 43 zilizozalisha chakula chini ya kiwango lakini bado tuna ziada ya chakula.

Maeneo mengi ya Tanzania yanatofautiana katika hali ya hewa, na upatikanaji wa chakula, bado hakuna njaa nchini.
Wakuu wa wilaya na mikoa wameshawaambia wananchi hakuna chakula.
 
Njaa = ukosefu kabisa wa chakula hivyo watu hawana chakula. Watu hawali kabisa, wanashinda bila kula na wana dalili za utapiamulo. Wengi wanakufa kwa utapiamulo na hasa watoto chini ya miaka 5. Familia zinasambaratika. Wakina baba kukimbia familia zao kwenda kusiko julikana kutafuta chakula na mara nyingi hawarudi. Hali ya namna hiyo ni janga la baa la njaa na msaada wa kimataifa huhitajika kuokoa maisha ya waathirika. Mfano huko Somalia.

Tanzania kwa sasa hatuko stage hiyo. Kuna upungufu wa aina fulani fulani tu wa vyakula, kitu ambacho ni kawaida kwa miezi hii. Hasa hasa ni upungufu wa mahindi. Vyakula vingi viko tele. Hata maembe ni chakula. Sasa mtu unakuta analalamika oh nimeshindia maembe, tuna njaa. Yaani kwa kuwa baadhi ya watu wameshindwa kula vyakula wavipendavyo hususani pilao basi kuna baa la njaa Tanzania? Ukishindia uji au mihogo kuna baa la njaa. Utasemaje kuna baa la njaa wakati watoto wala wakubwa hawana dalili zo zote za utapiamulo hata kama wameshindia senene na wadudu wengine?

Haya masuala ni ya kitalaamu. Tusipende kufanya siasa kwa mambo ya kitalaam. Siku hizi sijui tumepatwa na nini watanzania. Yaani watu wamekua wanazua majanga kila kukicha na kuyatangaza wakati wala hawana mamlaka ya kutangaza majanga. Mara janga la kufilisika hazina ya serikali, mara janga la Zika na sasa janga la baa la njaa. Halafu huwa wanayatangaza wakiwa wanafuraha wakidhani wanamkomoa mtu, tasisi au chama fulani. Huu ni ujinga au upumbafu kabisa.
Umeshapima kiwango cha utapiamlo wa watoto uliojitokeza kipindi hiki?
 
Umeshapima kiwango cha utapiamlo wa watoto uliojitokeza kipindi hiki?
Kwake yeye andahani njaa hadi watu wakose kitu cha kuingia mdomoni.hajui watu wanapiga dash,kisha wanakula majani, mizizi, sabuni, au kiasi kidogo sana ambacho hakiwezi fikia mahitaji muhimu ya mwili kwa siku.Baadae mwli huanza jitafuna wenyewe ili kupata vitu kama energy. Baadae huyo binadamu huishiwa nguvu kabisa kwa vile hakuna tena cha kuliwa na mwili katika mwili.
 
Nimemsikia Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa akielezea hali ya chakula nchini na kukanusha vya kutisha na kutosha kuwepo kwa njaa nchini. Ni mara tu alipotua Dodoma, kutokea Dar es Salaam, kuhudhuria vikao vya Bunge.

Nikamsikia pia Waziri anayehusika na kilimo Charles Tizeba akisema maneno yanayofanana sana na yale ya Waziri Mkuu. Naye akasema kuwa Tanzania ina chakula cha kutosha. Wote wawili wamesema kuwa hakuna njaa.

Lakini, bado inaripotiwa kuwa kuna njaa katika mikoa,wilaya na sehemu mbalimbali nchini. Pamoja na kuziheshimu na kuzikubali kauli za viongozi hao wa Serikali, sina budi kuuliza swali moja: chakula anacho nani?

Je, chakula kinachosemwa kipo, kipo kwenye maghala ya Serikali? Kama ndiyo, na kufuatana na kauli ya Rais ya kutowapelekea wananchi chakula, wananchi wanaokabiliwa na njaa watakipataje? Je, chakula kinachosemwa kipo kwa wananchi wenyewe? Kama ndiyo, kwanini iripotiwe njaa kuwepo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Mahitaji ya chakula ni tani mil 13, serikali ilikuwa na akiba ya chakula tani mil 16, bado tumebakiwa na tani mil 3.

Mwaka jana tulikuwa na halmashauri 43 zilizozalisha chakula chini ya kiwango lakini bado tuna ziada ya chakula.

Maeneo mengi ya Tanzania yanatofautiana katika hali ya hewa, na upatikanaji wa chakula, bado hakuna njaa nchini.
Huyo ina maana anapingana na mkulu?

Anadai serekali ina akiba ya chakula wakati serikali haina shamba na haijawahi kulima.

Serikali inaweka chakula cha nini hicho wakati haina shamba imekitoa wapi?
 
Waache tambo, nimemdharau baada ya kumsikia akiwabebesha wafanyabiashara mzigo kuwa wameficha mazao. Kwa hiyo mtu asiweke akiba yake kisa nini? Au wanataka kupitisha msako ili kama umehifadhi mazao yako uambiwe ugawe ili hali ni kwa akiba yako? Mfano mimi ni mfanyabiashara na nimeshaona hali mbaya,marafiki na ndugu zangu wamenipa oda zao na wameshanilipa hivyo nimewahifadhia leo utakuja kuniambia kuwa nimeficha? Serikali iwe wazi tu na kutafuta njia mbadala. Vitisho havifai kipindi hiki kwani wataoumia bado watakuwa ni wananchi na siyo viongozi. Mfano swala la sukari walioteseka hawakuwa viongozi bali wananchi
 
Tanzania ilizalisha tani 16 million i msimu uliopita, mahitaji ni tani 13 milioni, ziada tani 3 millioni, Tanzania ikauza 1.5 milioni za ziaza nje, Tanzania ikabaki na ziada 1.5 milioni ambazo waziri mkuu katangaza kusambazwa ili kufidia upungufu wa chakula na kuzuia kupanda kwa bei.

Lakini wakala wa chakula wa serikali anazo tani 88,000.

Hapo akili kumkichwa ili kujua nani anacho chakula.
 
Umeshapima kiwango cha utapiamlo wa watoto uliojitokeza kipindi hiki?
Takwimu ziko kwa waganga wakuu wa wilaya na mikoa ambazo huwakilishwa kila mwezi wizara ya afya pamoja na mambo mengine ya kiafya wilayani. This is normal routine za mfumo wetu wa uendeshaji wa huduma za afya. Mfumo huu unaitwa MTUHA au HMIS= Health Management Information System. Takwimu hujazwa kila siku kwenye vituo vyote vya utoaji huduma, kuanzia zahanati, vya serikali na visivyo vya serikali. Ni mfumo ambao uko well organized wala si utafiti. Masuala kama ya milipuko ya matatizo ya kiafya hususani utapiamulo au magonjwa ya kuambukiza taarifa zake hutumwa wizarani kila siku na wala hazingoji monthly report.
 
Tanzania ilizalisha tani 16 million i msimu uliopita, mahitaji ni tani 13 milioni, ziada tani 3 millioni, Tanzania ikauza 1.5 milioni za ziaza nje, Tanzania ikabaki na ziada 1.5 milioni ambazo waziri mkuu katangaza kusambazwa ili kufidia upungufu wa chakula na kuzuia kupanda kwa bei.

Lakini wakala wa chakula wa serikali anazo tani 88,000.

Hapo akili kumkichwa ili kujua nani anacho chakula.
Serekali ya milipuko.
 
Back
Top Bottom