Wana jamvi naomba msaada mm nimesahau password ya olas sasa hiyo dodoso najaza vipi ama naweza kuzipata ivyo password mwenye uelewa pls I need help for that
Anaweza pia kufanya kazi hata kwenye hifadhi as ecologists kama atapa nafasi maana hapo anasoma kuanzi macro hadi micro organism
Na Pia nilikuwa n.a. vijana kutoka UDOM wanaosoma hiyo course lake manyara national park walikuwa wanafanya field idara ya ecologia even if hawako deep ila wanakuwa...
Hilo nalo tatizo kubwa sana kwa mfano SUA wanatoa Bsc. in wildlife management na ada yake milion moja kama na laki mbili ivi lakini course hiyohiyo inatolewa MWEKA ada yake ni million 4 na laki 4 yaani nashindwa hata kuelewa na vyou vyote ni serikali hapo utata sana.
Lakini utakuwa competent sana kwenye industry ya wildlife na tourism kwa sasa huezi ona faidi yake baadae utakuja kuenjoy sana hata kama unaona kushindia porini si muhimu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.