Recent content by CEOgwamzy

  1. CEOgwamzy

    SULPHUR kwa matumizi ya Viwandani inapatikana

    Hello wa JF, Kwa mtu ambaye anahitaji Sulphur kwa matumizi ya viwandani au Migodini inapatinaka. Ipo kwenye mfumo wa GRANULAR. Mzigo upo wa kutosha (zaidi ya 15,000 MT). Mzigo upo Dar es salaam, Tanzania. Documentz zote zipo. Inatumika kwenye: - fertilizer production 🌾 - chemical...
  2. CEOgwamzy

    MSAADA: Namna ya kufungua kesi inayohusu utapeli uliotokana na Biashara

    Habari ya muda huu wakuu, issue yangu ipo hivi Mwaka jana mwishoni (December 2024) nliingia makubaliano na kampuni moja kwa ajili ya kununua bidhaa ambayo kwa madai yao wanaagiza kutoka nje ya nchi na ingewachukua mpaka siku 45 kufika Tanzania. Nlifanya malipo kulingana na Taratibu zao na pia...
  3. CEOgwamzy

    Kama wewe unajihisi una wakati mgumu embu jaribu kumfikiria anayegombea uraisi kupitia ACT-Wazalendo

    Hahahaha....wewe umeua mzeee...laki tano kote hko Hyu laki moja tuu akifika ajipongeze
  4. CEOgwamzy

    Kama wewe unajihisi una wakati mgumu embu jaribu kumfikiria anayegombea uraisi kupitia ACT-Wazalendo

    Wana JF msichukie swala ni kuwa hyu mmama inaonekana waz atpata kura chache haijalishi hata kama ana sera nzuri kiasi gani....unajua kuna wagombea wakisimama hata bila kuongea wana ushawishi kama vile MAGUFULI & LOWASSA kitu ambacho hyu mmama amekikosa na ukigombania na big fishes kama hao...
  5. CEOgwamzy

    Kama wewe unajihisi una wakati mgumu embu jaribu kumfikiria anayegombea uraisi kupitia ACT-Wazalendo

    Jana katika pita pita zangu nikajikuta nimeibukia Zakheem-Mbagara, kwa mbaaali nikamuona mmama anayegombea uraisi kupitia ACT wazalendo, Zitto, Afande Sele na Kala Pina , yaani yule mmama hana ushawishi hata kidogo sijui hyo Oct 25 atapata kura ngap? Ama kweli kama wewe unajihisi una wakati...
  6. CEOgwamzy

    RATIBA ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA na mgombea mwenza

    Ni shidaaaawapenda mabadiliko tusikose.....lazma tuoneshe tofauti kati ya kampeni na FIESTA
  7. CEOgwamzy

    RATIBA ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA na mgombea mwenza

    Weeeraaaaaaaaa weraaaaaaaaa Haya sasa siku yenyewe imefika ya kuweka mafuriko bila kuwa na wasanii wa fiestaaaa.... Ndugu zangu tufanye shughuli zetu mapema tuelekee kule JANGWANI... Wale wapenda mabadiliko tusikose PEOPLEEEEEES.....mheshimiwa akisikiliza matatizo ya walala hoi...LOWASSA akiwa...
  8. CEOgwamzy

    Kama ukiichagua CCM huna haki ya kulalamika juu ya umasikini...

    One definition of insanity is "doing the same thing over and over again and expecting different results." labda kwa kiingerezamtanielewa...........watanzania wenzangu CCM imeishindwa hii nchi kwa miaka 50 hawataweza kwa miaka 5 TAFAKARI
  9. CEOgwamzy

    Kama ukiichagua CCM huna haki ya kulalamika juu ya umasikini...

    waje tuu na najua wapo.....kitendo cha watu kujazana jangwani jumapili iliyopita kinadhihilisha wapumbavu wapo
  10. CEOgwamzy

    Kama ukiichagua CCM huna haki ya kulalamika juu ya umasikini...

    Hii ni dhahili kuwa kama watanzaniawakiipitisha tena CCM kutawala kwa awamu nyingine si haki tena kwetu kulia aukupiga kelele juu ya UMASIKINI. Tufikiri jinsi ujangiri ulivyokuwa ndani yamiaka mitano iliyopita tembo Zaidi ya 60% wameuwawa,vipi kuhusu swala la EFDmachine:wafanya biashara...
  11. CEOgwamzy

    Jicho langu la tatu.....

    Jicho latatu juu ya ufunguzi wa kampeni za CCM jangwani Kuna mambo kadhaa tunaweza kuyaona juu ya mkutano wajana wa CCM wa ufunguzi wa kampeni CCM wanajua kuwa UKAWA ni wazi wataleta mafuriko ndo maana na wao wamelazimisha hyo kwa kuwaalika wasanii kibao kama FIESTA.(MUDA MWINGI...
  12. CEOgwamzy

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Jicho la tatu juu yaufunguzi wa kampeni za CCM jana Kuna mambo kadhaa tunaweza kuyaona juu ya mkutano wa jana wa CCM waufunguzi wa kampeni CCM wanajua kuwa UKAWA ni wazi wataleta mafuriko ndo maana na wao wamelazimisha hyo kwa kuwaalika wasanii kibao kama FIESTA.(MUDA MWINGI UMETUMIKA...
Back
Top Bottom