Recent content by central midfielder

  1. central midfielder

    Lamar vs Marco Chali

    Kwa midundo ya hip hop, Kati ya Lamar na Marco Chali. Yuli ni hatari zaidi??
  2. central midfielder

    Jose mtambo

    Njia za kumpata mkuu?
  3. central midfielder

    Jose mtambo

    Kwann mkuu?
  4. central midfielder

    Jose mtambo

    Msaada kwenye tuta... Natafuta lyrics ya wimbo wa JOSE MTAMBO FT BELLE 9_Naongea na roho. Napataje wadau,au kuna mwenye uwezo wa kushusha hata vesi 1 tu. Asante. #forgive me.
  5. central midfielder

    Albert Mangwair

    Kwa ile flow yake,Swaga kwenye beat na aina yake ya kuumiza Collabo, Albert angeweza kufanana na rapper gani pale Marekani. Mimi naona T.I wewe je?
  6. central midfielder

    Pancho Latino alipiga biti ya Dar Stand Up ya CHID BENZ

    Watu wanasema sana kuhusu ile biti ya Dar Stand Up ya CHID BENZ. Ambayo ilinyongwa na Marehemu Pancho Latino ni biti kali sana,Pia Rashid alikuwa kwenye prime yake. Zikitajwa biti alinyonga Latino zinatajwa nyingi lkn Dar Stand Up inatajwa zaidi,Sio kitu kibaya lakini. Lakini huyu jamaa kuna...
  7. central midfielder

    Jay Moe Hili game

    Wakuu msaada mwenye ngoma ya jay moe Hili.game remix tafadhali.naiomba hapa. Mara nyingi nayoipata haipo fresh ipo sauti ya chini sana alafu biti haikimbizi vzr. Msaada jamani nayoipata ni hiyo chini hapo
  8. central midfielder

    Nawezaje kupakua (download) miziki Spotify nikiwa offline?

    Eti nyimbo zote😆😆 Shukrani sana Kaka....Mana naiona iko njema aisee ni kama no1 platfom ya muziki ndio zingine zifuate
  9. central midfielder

    Nawezaje kupakua (download) miziki Spotify nikiwa offline?

    Kwahyo nikilipa hiyo naweza download ngoma kibaoo hata nikiwa offline nasikiliza bila shida? Au kuna kikomo.kwenye hizo ngoma? Yani uki download kazaa mwisho? Na vp niki log out ngoma zinapotea? Vp nikibadili simu nikija kulog in ngoma inatakiwa nianze upya? la.mwisho njia ya kulipia ni ipi...
  10. central midfielder

    Nawezaje kupakua (download) miziki Spotify nikiwa offline?

    Wakuu msaada tafadhali, Hivi hapa Spotify haina uwezo wa kudownload ngoma ukiwa offline u play kama audio mak? Hii imekaaje wakuu?
  11. central midfielder

    Tamaduni Music ilianza na kufa mwaka gani?

    Wakuu kwema? Hivi Tamaduni Music ilianza mwaka gani na mwaka gani ikawa imekufa (japo sina hakika ndio maana nauliza)? Kama ilikufa nini chanzo cha Tamaduni kufa? Muanzilishi alikuwa nani wa Tamaduni? Nini chanzo kufa kwake. Members wa Tamaduni walikuwa kina nani? Asante.
  12. central midfielder

    Msaada: Naomba wimbo wa Hawatuwezi wa Nako 2 Nako na Enika

    Yani kamamaliza sana kanata na biti dah
  13. central midfielder

    Msaada: Naomba wimbo wa Hawatuwezi wa Nako 2 Nako na Enika

    Humu sasa Ibrah kauwa na napenda vesi yake kuliko ya Lord Eyez.
Back
Top Bottom