Mwananchi, Sunday 6th November 2011
Na Mwandishi Wetu.
WANANCHI wa Jimbo la Sengerema mkoani Mwanza, wamempongeza mbunge wao, William Ngeleja (CCM), kwa kile walichokieleza kufurahishwa na utekelezaji wake wa miradi ya maendeleo anaoufanya jimboni humo, na wamemuahidi kumchukulia fomu ya...