Nimeelewa nashukuru ila kuhusu kusoma na kuendekeza mapenzi,kumbuka wakati huonnilikuwa tayari na kazi na nilikuwa naingiza over 2M per month so ilinifanya niishi maisha tofauti na ya kiuanafunzi
Wakuu habarini, hii ni story ya kweli iliyonitokea na hili jambo linanipelekea kukosa amani na kuwa mtu wa stress sanaa.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata fursa ya kuongeza elimu katika chuo kimojawapo (dsm tz). Wakati nasoma nilikutana na binti mmoja (Jeni sio jina halisi). Huyu Jeni alikuwa...
Acha ujinga balozi wa nin...mfate jamaa mwambie tabia unayotaka kufanya sio nzuri na sipendi nakuomba acha mara moja...then ondoka unaenda kwa balozi na kama balozi alishamtongoza au kula kabsa...kua mwanaume acha ukijana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru..ila tambua wapo wenye jinsia mbili na wanastaili kupendwa na ndio ninachotafuta,hizo biashara zako za kutafuta mwanaume ni tofauti.(respect ur self)
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.