Uwiiiiiiiiiiiiiiiii aise we jamaa, wa wapi, yaani mi mke hana hamu, angekua wangu huyo uwiiii yaani huyo unatakiwa umshughulikie haswa tena ndo mmetoka funga ndoa juzij uzi acha uvivu kaka jitume ndo ndoa hiyo na si kulala pamoja huyo si dada yako ni mkeo... tena angalia asije jua unalalamika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.