JPM anatupa matumaini katika nchi yetu hasa anavyoelekeza matumizi ya pesa kwenye mambo muhimu. Mungu ampe uzima na afya ya kuendelea kutupa matumaini ya kukua kwa uchumi wa nchi yetu hasa katika swala la ufufaji viwanda ili vijana wengi wapate ajira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.