jamaa hajui kitu chochote muongo ingia kwenye website official ya toshiba au cheki kwenye karatasi ya maelekezo iliyokuja na hiyo laptop. toshiba haingiliani driver na pc nyingine. halafu ukiingia kwenye website ya toshiba weka model ya pc yako itakuletea driver zote chagua unazotakt ni muhimu...
magufuli hana kituchochote kabebwa na kikwete ulishaona lini mkapa, mwinyi au nyerere anapigia mtu debe sasa ndo ya kikwete hayo. magufuli mwenyewe hajui kuongea, kwenye kampeni utaona ni krambasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.