Recent content by cathedral

  1. C

    Ubalozi wa Tanzania uliopo Afrika Kusini ubadilishwe, kwa Miaka sasa amna kitu wanafanya

    katika ubalozi wa Tanzania wenye shida sana sana ni huu wa Pretoria tushasema sana lakini sijui za ndani ni zipi? Ukitaka kuamini nenda magereza ya afrika ya kusini 60% ya wageni ni watanzania sio kwamba ndio wakosaji sana bt mabalozi hawaji kuwatoa mimi shahidi wa hilo balozi wa malawi kila...
  2. C

    Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

    kama umewahi kuishi baadhi ya sehemu au unandugu anaishi hizo sehemu, nirahisi kupata majibu!ni kweli unaweza kuoa au kuolewa na muathirika wa vvu kama home tunavyo penda kuita na, bado wewe na watoto mkawa wazima. mind you apo bongo kila siku kuna watu wanalala na watu wenye vvu na hamjuani na...
  3. C

    Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

    schweinsteiger huyu mjerumani hatari japo sijui full nam,e yake. Igori Belanov miaka yetu mipira ya madaso tuliita mikoani tulipenda kujiita hilo jina.
  4. C

    Ukitaka kufahamu JF unakutana na watu wenye uzoefu kuliko wewe na wenye akili kuliko hata walio kuzunguka mpaka wazazi wako, pata tatizo

    Habari za asubuhi? Jana niliomba ushauri kuhusu mke wangu, wengi walinishauri, maybe kutokana na uzoefu wa ndoa zao au kutokana na kushuhudia mengi kutoka kwa wazazi wao, ila naamini hakuna alie nishauri from know where tuna experince nzuri sana kuhusu ndoa wengi wetu! Kwangu JF wapo wazazi...
  5. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    shukrani sana nimejifunza kitu hapa shukrani sanaaa asee
  6. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Asante Pia ata kwa hili ni ushauri tosha kwangu
  7. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Mbona nimeshalisema hili!! hakuna sababu ya maana sana zaidi ya mapenzi basi, tulisoma wote chuo na mazingira tulio somea ndio yalileta ndoa na mtoto ila kusema kuna kitu kingine zaidi ya hiko hakipo
  8. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    natamani hata mimi iwe kama wewe nitatoa tena sadaka ya kuteketeza
  9. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    kiuhalisia jibu la swali lako hata mimi sina nilishajaribu kujiuliza sana??ila kwa sababu tulisoma chuo kimoja tena mazingira ambayo wote ni wageni na tunatoka nchi moja hiki ndio kilileta mazoea yakaleta mtoto na badae ndoa. ukiniuliza kama nampenda mke wangu jibu ni yes nampenda ila sipendi...
  10. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Asanteni kwa ushauri unaoendelea mpka sasa!! Naomba niwaeleweshe hivi, mimi na mke wangu tuliona 2018 baada ya mimi kumaliza chuo na kupata kazi,, na nimesha achana na wanawake tena wazuri kuliko hata wife wangu, Kwangu mimi uzuri na sex sio vitu vya kwanza kwenye maisha yangu to bad me ni...
  11. C

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Habari ndugu na jamaa wa JF? Nimekua nikifatilia humu JF kwa muda kuhusu ndoa, naamini humu kuna watu wana uzoefu mkubwa sana kuhusu ndoa tunaweza kushauriana mambo kadhaa. Mimi ni kijana amabe nipo below 30 age nimeoa mke ambae ninamzidi mwaka 1, mimi na mke wangu wote tunalingana elimu ila...
Back
Top Bottom