Recent content by CATEI

  1. C

    JamiiForums Tanzania Moto mkubwa unawaka maeneo ya Mwenge kwenye Stendi ya Mabasi

    Poleni, jana kamanda wa jeshi la zima moto alisema vifaa havitoshi na kuomba msaada wa vifaa, kwa hiyo hapo wanadar ni kusaidiana tu kuzima moto msitegemee sana zimamoto.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Mgomo chuo cha Mandela Arusha!

    Mgomo ni moja ya hatua ya kudai haki ikiwa upande mmoja hautaki kufikia muafaka, lakini mgomo ufuate sheria ili kuepesha madhara baada ya mgomo. nawashauri wanachuo wawe na subira kwa kuwa upande wa pili wako tayari kuendelea na mazungumzo na huenda wakaafikiana.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Lulu (Elizabeth Michael) kuachiwa kwa dhamana

    kwenye ukweli uongo hujitenga tusubiri dakika tisini ya lulu itafika tu.
Back
Top Bottom