Kuna demu mke wa rafiki yangu ameomba niongee na mume wake kwani hawana maelewano ndani ya nyumba. Kisa jamaa alisikia mke wake alikuwa anaandikiana sms za mapenzi na mtu mwingine na walishaenda gesti pamoja.Alivyomuuliza mkewe, mke anadai zile sms ni utani tu na kule gesti ni kweli waliingia...
Kila kitu ni mtazamo tu! Wana saikolojia washandika kuwa Ukianza kumwona mtu ni kichaa hata kama si kweli kuna siku ukimkuta anapiga chafya utakimbia huku ukithibitisha mtizamo wako. Ukiwa na mtizamo kuwa demu fulani ni malaya haya siku ukimkuta na kaka yake utasema "si unaona!"
Hata haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.