Recent content by CARDLESS

  1. CARDLESS

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Biblia iliandikwa wakati YESU yuko hai au Ameshakufa? Kama iliandikwa wakati yuko hai hapo haina shida lkn kama jibu ni kwamba iliandikwa wakati yeye ameshakufa basi hapo hiko kitabu ni FAMBA maana ni stori za vijiweni na Ghahwa.
  2. CARDLESS

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kama ulivyo wewe sijui kama unaona tabu wanayopitia watu wa Israel
  3. CARDLESS

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    😅😅😅😅😅 Humu mnapenda Stori za vijiweni kweli. Israel anachapika wewe unaleta habari za kwenu Mwanalumango?
  4. CARDLESS

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Stori za vijiweni hizi, huku JF ukiingia ni kama USA na ISRAEL hawapigwi, USA hana base hata moja hapo mashariki ya kati, zote zimepigwa na hatumii na ameshasema Askari wote waondoke bado unaamini USA ameshinda hiyo Vita? USA anaomba msaada wa kutumia Base za nchi zingine huoni kuwa amefeli...
  5. CARDLESS

    Hatima ya Tanzania 2025-2050

    Leo hii ni Tarehe 16/08/2025, ninaandika hapa hatima ya nchi yetu hii pendwa (TANZANIA). Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania, hapa ni kwetu, hapa ndipo tunapojivunia kama watanzania. Kabla ya kuwa Juma au Patrick au Patel au Nakamura au Masanja ulianza kuwa Mtanzania, Yes sisi ni watanzania...
  6. CARDLESS

    Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Huu ni Uongo wa wazi.
  7. CARDLESS

    Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Yes Tehran ina watu wengi yaani ni wengi hasa mfano Dar mara 2.5 yake nahisi. Ingawa sina uhakika na Idadi ya Israel ila Tehran ina watu wengi mno hadi mji una joto.
  8. CARDLESS

    Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Sirens zipo Iran, Nimefika hilo jiji acha uongo, hata Bankers zipo sema idadi ya watu ni kubwa sana hivyo haitoshelezi
  9. CARDLESS

    Iran inajitahidi sana kwa kweli. Ona hizi picha

    Iran amezidiwa nini? Mm hata sijui mnamaanisha nini mnaposema amezidiwa
  10. CARDLESS

    Israel yasema Ayatollah atauawa muda wowote

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Sasa Hayattollah Ali Khomein ana MIAKA 96 unadhani hata wasipomuua leo anaweza kuishi miaka hata mi3 mbele??
  11. CARDLESS

    Ni rahisi Israel kushambulia viongozi wa Iran sababu wananchi wengi wanaichukia serikali, wairan wanaiona Israel kama mkombozi

    Israeli, anashambulia Iran kwa mabomu ya kutega kwenye Magari, na Droni ambazo zipo ndani ya Iran, anawatumia wairan, hakuna Kombora litatumwa kutoka Israel kwenda Irani likatua salama, yote yanakuwa intercepted
  12. CARDLESS

    Ni rahisi Israel kushambulia viongozi wa Iran sababu wananchi wengi wanaichukia serikali, wairan wanaiona Israel kama mkombozi

    Nani kakuambia makombora ya Iran hayana target? Si yangetua GAZA?, Si yangetua Lebanon, si yangetua hata Jordan? Mbona yanatua Israel? Na unafahamu kuwa Israeli imesema ni marufuku kutoa taarifa ikiwa sehemu nyeti zimepigwa???
Back
Top Bottom