Recent content by CaptainJackSperrow

  1. CaptainJackSperrow

    Unafiki wa Mgeja na Guninita, kisa cha kuhama CCM

    Hata Mrisho Ngassa baba yake nae alikuwa mchezaji.....
  2. CaptainJackSperrow

    Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

    "Ngoma ikivuma sana, mwishowe hupasuka."
  3. CaptainJackSperrow

    Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

    Rejea katika katiba, utaona raid amepewa mamlaka ya kuwapa msamaha wafungwa wa sina gani/ makosa yepi then ndio ucomment tena...
  4. CaptainJackSperrow

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    "If your looking for booting your presence here then your mistaken. You meet a wrong guy at a wrong place n a wrong timing........." Value your time. Write valuable arguments n your presence will be acknowledged. There is the Hebrew proverb says, "Ishtaiñ Qalimah, kabille ddosh."
  5. CaptainJackSperrow

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Shida si kwenda msibani. Tumeambiwa aliyekufa ni kada wa CCM, Lowassa alikuwa CCM hivyo anafahamiana na marehemu. Lakini hao wafuasi wa UKAWA na sare zao walikuwa wana dhamira ya mazishi au chokochoko ? Sasa inaonesha Lowassa ata akitaka kwenda faragha atasindikizwa na huo umati. Kwa wakati...
  6. CaptainJackSperrow

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Kuna ule usemi wa pwani, "Kila apendae huwa kipofu. Hata chongo ataita kengeza." Naona ndg umehemkwa na kupenda
  7. CaptainJackSperrow

    Freeman Mbowe aongea na Waandishi wa habari, anaendelea Vizuri

    Mzungumzie mlengwa, kuwaingiza watu wengine kwenye topic itakugharimu. Wala hamna hata mtu mmoja humu JF atakaethubutu kukusaidia yakikukuta..... Dats my advice to u !
  8. CaptainJackSperrow

    Uimara wa CHADEMA Umethibitika kwa sakata la Slaa

    Suala lolote linaloshirikisha imani, ni suala nyeti. Ila lina hatari moja huenda hicho kinacho aminiwa kikawa ni kweli au la. Suala la msimamo wa Dr. Slaa limetawaliwa na imani, wapo wanaoamini bado yupo kwenye harakati na wengine ni tofauti. Uhakika wa suala hili utapatikana punde tu Dr. Slaa...
  9. CaptainJackSperrow

    Akiwa waziri mkuu saruji ilipanda bei kutoka Tshs 9300/= hadi Tshs 26,000/=

    "Rise and rise again, until the Lambs become Lions."
  10. CaptainJackSperrow

    Akiwa waziri mkuu saruji ilipanda bei kutoka Tshs 9300/= hadi Tshs 26,000/=

    Huenda ukawa sahihi, lakini bado nguvu ya hoja inahitajika. Maana kama mnafanya mipasho, then mtashindwa kufanya ushawishi wa kile mnachokiamini
  11. CaptainJackSperrow

    Akiwa waziri mkuu saruji ilipanda bei kutoka Tshs 9300/= hadi Tshs 26,000/=

    Dada yangu ungejenga hoja ingekuwa bora zaidi kuliko mipasho...
  12. CaptainJackSperrow

    Chama Cha Mapinduzi (Zanzibar) wajibu tuhuma alizotoa Lowassa

    Niliamini humu JF kutakuwa na wazalendo wa kutoa hoja kwa kila jambo linapowekwa. Lakini ni tofauti na imani yangu huyo. Na nasikitika kuona baadhi ya watu wamekosa uungwana na uzalendo. Baada ya kutoa hoja wanatoa lugha za matusi, wanasutana kana kwamba haitoshi wanaumbuana. Vilevile...
  13. CaptainJackSperrow

    Nape Nnauye ahojiwa na TAKUKURU kwa masaa 5

    Je, amekamatwa kwa kosa la kutoa rushwa ? Au alukuwa anataka kutoa rushwa ? Nijuavyo mimi kwa uchache wangu wa fikra niliyokuwa nao, anayetoa na anayepokea rushwa wote wamefanya kosa kwa mujibu wa sheria. Sasa wakati mwengine hao maafisa TAKUKURU, wakipewa habari flank anatoa rushwa wao huwa...
Back
Top Bottom