Nani kasema kila biashara ni kubembelezana , ukiona unabembeleza mtu kweny biashara yako bas hio biashara kuna mahal umekosea either bei au quality
Biashara ni ushawishi namna gan utamshawishi mtu anunue unachokiuza zingatia huduma zako na quality hivo tu
Biashara ni kazi tu kama kazi zingine na pia ni kazi inayojitaji hesabu na mambo mngn tu kidg ya kuzingatia , ukisema kipaji unakosea.
Zingatia ununuaji na uuzaji na unachokipata uki invest kwenye hio hio biashara au nje basi inatosha. Ni mbinu tu ndogo
We kuna kitu hujaeleqa kabisa unahisi biashara ni kuwa Vunjabei tu kuuza nguo. Kile unachokifanya au ulichosomea una uwezo wa kukifanya kuwa interms ya biashara. Kivipi??
We ni daktari kusanya pesa yako ndani ya miaka 20 , nenda mbeya kafungue hospital yako kaa utulie itaingiza hela kuliko hio...
Naomba utujibu hili swali kwa Hoja kama unavotaka sisi tukujibu kwa hoja ; Je Kuna Mwanadam ana uwezo wa kufanya muujiza kwa karne hii mfano wa muujiza alofanya pastor tony??
Kweny uislam hakuna mtu anaeza kufanya muujiza zaidi ya manabii walopita Muhammad, nabii issa Nyie mnamuita Yesu ...
😂😂 Una bahat haturuhusiw ata kuisema Dini zngn kwa ubaya wala kuutukana kwa mambo yao nd maan huwez ona tunaleta maneno ya kashfa , ila kama we n mkristo au Shiaa umepotea na ukifa kwa hio hali we ni motoni milele Allah akuongoze utoke kweny ito dini ya biashara ya kujazia watu gesi kwa midomo...
😂😂😂 Duh We nakwamby hizi hoja zako sjyi unataka tukujibu au vipu ni kama mm nikwamby Yesu hakuoa kwaiy alikua anazini maan haiezekan miaka 30 + mwanaume asioe apo naomba ujitete kwa hoja!! kwaiy mi nikwmby naconclude ukristo swez kuufata kwasbb yesu wenu alikua anazini haiwezekean a man with 30...
😂😂 kaishiwa Hoja uyoo... Nan anafuga majini sasa na yale mnayoombewa kanisani yanatokea wap au na yale sisi nd tunawatumia 😂 kama basi sisi tunafuga majini basi sisi nd viumbe hatar tuna control dunia maana tuna control vtu we huvioni na tumepewa elimu ambayo huna na huwez ipata sa na hii...
sawa Pastor Tony, nikuletee Gesi ujaze 🤣🤣🤣 Haya huyaongei kazi kushobokea dini ya watu , M naomba nkuletee gesi ujaze na ukijaza mi naacha juwa muislam pumbav 😂😂 mnaumbuka
Sasa Hoja za nini we unataka kuwaambia watu ujwel ukwel au unataka hoja zetu sema moja 😂
Hoja unataka hoja gan... unaambiwa Quran haina Connection na uchawi we kazi kungangania oohh Quran sjui ukisoma sjui nn sa tunakuelweshaje we jamaa 😂😂 we umeamua we amua
😂😂 We kama sio Shiaa Ni Uliritadi , kwaiyo una chuki isiyo na kifani Broo.. M nakushaur ukwel huwa unajulikana na uongo unajulikana
Huu muda unaupoteza kuandaa hivi vitu ungefocus na Life maisha magumu , Kama Dini ilikua tu inaanza na viongoz wa Macca wakat ule wakashindwa kui stop na ikaenea...
😂😂😂😂 we jamaa kaz unayo.. huu uislam unaamka nao kila siku wenzako walifanya kuuangusha kwa silaha kubwa za kivita na wako wap leo na uislam uko wap 😂
We shawishi watu kwa uongo si hata hatukujibu we kama sio Shia basi muislam uliritad saiv mkrsto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.