Kuna eneo la Vikunai ni kama bonde jirani na nyumba za NSSF, watu wameishi hapo kwa zaidi ya miaka 20, mwezi wa sita mwaka huu, ndipo tatizo lilianza, NSSF kusema ni eneo lao, kuwa hao ni wavamizi, hivyo wanatakiwa kuondoka, hasa wale waliojenga nyumba miaka ya karibuni.
Na kweli nyumba zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.