Halima unayemtetea hajafanya lolote kwenye jimbo la Kawe, kaishia kugoma tu.
Barabara za Mbezi Juu, Wazo na Madale hazipitiki.
Hela za mfuko wa jimbo haifahamiki zimetumikaje...
Mdee unamshabikia kwa mazuri yapi?
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO
Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima?
Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam.
Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu muhimu katika taifa. Mabalozi wengi wanakaa jimbo la Kawe.
Vitengo muhimu kwa ustawi wa nchi viko...
Naona utakuwa umetembelea kata ya Kawe ambayo haiko Dar es Salaam.
Aliyekataliwa waziwazi kwenye kata zote ni mgombea wa Chadema, Mdee.
Gwajima anakubalika kwenye kata zote, kwa rika zote.
Subiri Octoba 28 ndo utaona maamuzi ya watu wa jimbo la Kawe watakavyompa kura za kutosha Askofu Gwajima.
Angeahidi mtu ambaye hajawahi kwenda USA au kufika Japan ingeonekana ni mambo ya kufikirika. Gwajima amekuwa Marekani na ana marafiki Marekani, amekuwa Japan na ana marafiki huko.
Tatizo hapa ni kwa sababu nyie hamkuwahi kufika huko ndo maana mnaona haiwezekani.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo utajua waziwazi kwamba Pengo na Makonda ndo walikuwa wamemkosea Gwajima. Gwajima alisimama kutetea haki wakati ambapo kila mtu alikuwa kimya.
Sasa kwa sababu ya mtazamo wa wengi, hawaoni kama Pengo na Makonda walikosea. Kwa sababu Gwajima ana hekima sana, ameona tu...
ZIARA ZA GWAJIMA KWENYE MITAA NA KATA ZIMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA WA HALIMA MDEE KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.
Kawe, Dar es Salaam.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ndugu Josephat Gwajima ameendelea na ziara zake kwenye mitaa na Kata za jimbo la Kawe ambapo amekua akishirikiana na wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.