" Njombe peleka pesa na sio kuchukua pesa, wenyeji bado hawaamin kununua kwa mtu asie kabila lao"
Peleka pesa kanunue viazi, mbao , mapori.
Lakini sio wao wakupe wewe pesa kupitia biashara utakayoanzisha. Naongea kwa uzoefu.
Asante
Nimependa zaidi hii ya used tyres na bidhaa zake.
Naomba msaada ufutao
1. Kutembelea plant yenu ya bidhaa za plastic waste inayotoa diesel
2. Soko la hizo product zingine
3. Mashine ya kuanzia naipata wap, nahitaji urgently nafunga mkoan, gharama yake
PM yako imefungwa mkuu inagoma...
Mktaba wenu
1. Niliona umetaman trailer ya super single, je airbag ikipasuka gari inaingia mizan nani analipa?
2. Tyres iki burst nan analipa, kawaida kwa super single
3. Service ya trailer , imekatika sehemu inahitaji kuchomw nan analipa?
Ukiona hayo maswali majibu yana ukakasi
Unga unga...
"Kila unachokiona mbele yako kilishawahi kuwa kwenye truck"
Umeamua vyema kuwaza biashara hii.
Niongeze kidogo
Kuliko kununua gari used budget yako inatosha kuwapa TATA wakakupa gari mpya kwa 35m na trailer ukiunga unga utapata kwa 30m double tyres.
Super single ina changamoto nyingi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.