Recent content by canne siame

  1. C

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya malipo aliexpress

    Habari wakuu nina changamoto ya kufanya malipo aliexpress leo siku ya 5 nmejaribu hata kutumia account ya jamaangu bado nimejaribu kutumia visa card ya voda wap nmejarbu kuwasiliana na benk husika kuona kama kuna tatizo wamenambia wao hakuna tatizo nmewachek aliexpress pia na wao vivyo hvyo...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kama Mkutano wa Ndani Unajaa Watu Kiasi Hiki. Vipi Kwa Mkutano wa Nje? CCM ina uwezo wa kujaza hata Uwanja wa Taifa

    Ninachojua mimi ccm wanatumia kila mbinu kuwakusanya watu hasa kuwepo kwa wasanii kunaisaidia sana kupata audience na kufikisha ujumbe wao Lakini kwa upande mwingine ccm ndo cha mama lazima kitakua na watu wengi nakutokana na mdororo wa uhuru wa vyama pinzani ni lazima kutakua na wanachama wengi...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Simulator ipi ya simu au pc
  4. C

    JamiiForums Tanzania Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Hii kwa sasa imekua kero kubwa hata huku mbarali mbeya waIri wa ardhi apikuja na kuwataka wananchi wahame maeneo yao wanayoishi wakidai wamevamia eneo lahifadhi wakati eneo hili ni la babu na bibi zetu tangu mwaka 74 uko lkn leo mtu anakuja kuwafukuza tena akiwaita wavamizi daah inasikitisha sana
  5. C

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kiwango cha mtaji wa biashara hii

    Habari za muda huu wakubwal!! Naomba kupata ushauri kidg Kama ninahitaji kuwa na biashara & huduma ifuatayo ninahitaji mtaji kiasi gani (kiasi cha chini kabisa). Kuuza vifaa vya simuu (Betry earphone memory card n.k) Ufundi simu na redio Vifaa vya umeme wa sola (location hakuna umeme ni solar...
Back
Top Bottom