Recent content by Cammaraderie

  1. C

    Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

    Adilimia 99.999% uko sahihi, bk kama siyo Mhaya hata chakula (ndizi samaki) hotelini hupati
  2. C

    Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

    Inawezekana aliyemwandalia hotuba hii ana lake jambo, lakini Maprofesa wote wa Muhimbili na hata wanachuo wao ambao ni vipanga yaani wote wameshindwa hata kwa pamoja kumsaidia waziri wao asiadhirike jamaniii?
  3. C

    Taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu mwalimu kufanya biashara darasani kwa wanafunzi anaowafundisha?

    Akawarudishe wanawe kwa bibi yao Rukwa kule wakale makande asubuhi, pengine maandazi hajazoea.
  4. C

    Taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu mwalimu kufanya biashara darasani kwa wanafunzi anaowafundisha?

    KUna mtu aliwahisema "kila mbuzi ile kwa urefu wa kamba yake" kamba ya mwl inafika darasani
  5. C

    4R ni wazo la nani? Limetoka wapi?

    Phylosophical
Back
Top Bottom