Recent content by camily

  1. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Kwenye tumbo kidogo sana na miguuni kidogo
  2. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Nitaenda kumcheki mkuu, naona hali si hali
  3. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Nimeanza itumia hii scaboma lotion toka jana, pharmacist aliniambia ni hizo scabies
  4. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Nimeshauriwa hapo juu nataka niitafute hiyo dawa
  5. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Sawa nitai Shukrani, leo ntaitafuta
  6. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    😀😀 , vipimo viko tele mkuu, nikujipima tuu
  7. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    😃 nilikua ngara na sikupata iyo kitu mkuu, huku mpox hamna
  8. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Sawa mkuu ntajaribu nione
  9. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Mi naona vinazidi tuu kwenye vidole na migoni ndo vinawasha sana
  10. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Niko Pangani tanga mkuu, kwa siku naoga mara moja tuu pamoja na joto lote lilopo huku
  11. camily

    Dawa ya hizi rashes (upele)

    Msaada vipele ivo vinawasha sana, sijajua shida ni nini
  12. camily

    Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

    Time wil tell, acha ndani ya wiki mbili tuu.. Tutajua white and black..... Izi mambo za vita kwasasa propaganda hua nyingi sana . N.B kumbuka urusi iliahidi vita ni wiki mbili tuu, sasa tunaenda mwaka wa ngapi..???
  13. camily

    Wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo

    Shida ni hao watusi wanajikubali kua ni wakongo au bado wanajinasibu kua ni warwanda... Mfano mmasai au mjaluo wa Tz atabaku kua mtz na mkenya anakubali kua ni mkenya.. Shida ya hao watusi unaowatetea hua wanajitia uspecial sana na pia hawakubali kua ni raia wa nchi hiyi wanaishi, sasa kama...
  14. camily

    Allergy Ya Manukato

    Shukrani sana
  15. camily

    Allergy Ya Manukato

    Habari wakuu.. Naombeni msaada naona nina allergy na manukato (perfumes & body spray), zinanipa mafua makali sana.. Na hii sio nikipulizia mimi tuu hapana, hata nikikaa na mtu alojipulizia basi ni tafrani, mafua hayaishi.. Sasa ofisini plus mitaani humu kwenye vikao vya bia ni ngumu sana...
Back
Top Bottom