Inaonekana Mungu unayemuabudu anauwezo mdogo sana na Yuko limited kufanya baadhi ya mambo!
Mungu ninayemuabudu ana uwezo wa kujifanyia mwana kwa neno tu na kwa namna atakayo!
Unauliza swali kujibu swali!
Wee zingatia mada iliyopo mezani.Kwa Nini washirika wadogo wa Marekani wapigwe halafu swaiba wa Marekani asipigwe?
Kuna Nini Hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.