Matajiri wakubwa wa Moshi dini yao inafahamika,Mbeya,Arusha,Mwanza na Mikoa yote mikubwa! Hata waliotamalaki Kariakoo pia dini yao inafahamika.
Yeye kachukua magabachori halafu akageneralize!
Kwa.sababu ukiwa muislam Allah anakutajirisha! Lakini kwa ulimwengu matajiri wote wakubwa zaidi ya ishirini si waislamu.Sasa sijui huyu Allah anapendwlea Tanzania peke yake!
Maajabu haya!
Kati ya Iran na Marekani nani anatakiwa kuombewa?
Anayeshinda vita anaombewaje?
Manake tunaambiwa Iran anashinda!
Anayetakiwa kuombewa ni Marekani na Israel!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.