Wafanyabiashara wakubwa Mbeya,Mwanza,Arusha pamoja na Mikoa yote ya Kanda hizi si kobaz,wafanyabiashara wazalendo kuanzia mbugani kwenye migodi na sekta zote kubwa zalishi si kobaz na hata hapo Dar es salaam wakinga wengi na waha si Kobaz I unapogeneralize unawaongelea wahindi na waarabu wa Dar?
Matajiri wakubwa wa Moshi dini yao inafahamika,Mbeya,Arusha,Mwanza na Mikoa yote mikubwa! Hata waliotamalaki Kariakoo pia dini yao inafahamika.
Yeye kachukua magabachori halafu akageneralize!
Kwa.sababu ukiwa muislam Allah anakutajirisha! Lakini kwa ulimwengu matajiri wote wakubwa zaidi ya ishirini si waislamu.Sasa sijui huyu Allah anapendwlea Tanzania peke yake!
Maajabu haya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.