Bila udini/uislamu usingekuwa upande wa Iran acha uongo wewe muislam.
Yaani raslimali za Bongo zisikuume ila uumwe na raslimali za Iran na Venezuela?
Kwamba hatukufahamu kila siku unakuja na mada za Palestina,Hizbollah ,houthi na Wala huongelei mauaji ya 25/10.
We read between the lines na...
Sasa wewe inakuuma Nini sisi tukiwa na michakato ya kuwa fanya watakatifu waja wa BWANA MUNGU WA MAJESHI?
ikumbukwe sisi hatujaumbwa na Allah na Wala yeye si Mungu wetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.