Recent content by camerlengo

  1. C

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Wewe unampangia Mungu muweza
  2. C

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Kwamba Mungu Yuko limited hawezi fanya atakavyo?
  3. C

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Mungu muweza wa yote ana uwezo wa kufanya atakavyo!
  4. C

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Inaonekana Mungu unayemuabudu anauwezo mdogo sana na Yuko limited kufanya baadhi ya mambo! Mungu ninayemuabudu ana uwezo wa kujifanyia mwana kwa neno tu na kwa namna atakayo!
  5. C

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Mungu aliyeabudiwa na Musa hakuwa anaongeq na kusikia Kiarabu peke yake!
  6. C

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Fear of the unknown mzee! Wakati mwingine huwa nawaza kwamba huenda sisi ni ma mifugo ya huyu Mungu
  7. C

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua kuhusu vitabu hivi vya dini

    Approach ya Mazinge ilishafeli miaka mingi sana! Uislam hauhubiriki bila kutaja Ukristo!Kwa nn Mungu mwenye nguvu na uwezo apiganiwe?
  8. C

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Sijui Khamenei alitoa MANENO gani ya mwisho!
  9. C

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Nyie tumewazoea kwa propaganda. Tulianza na Hamas,HIZBULLAH,houth na sasa Iran..... Iran anadondoshwa siku si nyingi!
  10. C

    JamiiForums Tanzania Hivi ndege ikiwa inapita angani mbona kama inatembea taratibu?

    Swali la spidi ya ndege nimejiuliza sana nikiwa mdogo
  11. C

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Unauliza swali kujibu swali! Wee zingatia mada iliyopo mezani.Kwa Nini washirika wadogo wa Marekani wapigwe halafu swaiba wa Marekani asipigwe? Kuna Nini Hapo?
  12. C

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Kwani anayetandikwa kwa sasa ni Israel? Hebu jaribu kuficha vi aibu vidogovidogo Zingatia mada!
Back
Top Bottom