Recent content by calvin judica

  1. C

    Nafasi za kazi uhamiaji

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi anatangaza nafasi za kazi zifuatazo katika Idara ya Uhamiaji kwa Raia wote wa Tanzania wenye sifa. 1. KOPLO WA UHAMIAJI Nafasi 114 - (Nafasi 100 kwa ajili...
  2. C

    Naomba msaada jinsi ya kupata vitual dj

    Mkuu link zipo kibao cha kufanya ingia Google utazipata tena for free. ila usitumie link ya softonic
  3. C

    Degree ya Chemicals au Biochemistry from Diploma ya ICT

    Habari za saa hizi ndugu zangu?samahanini naomba kuuliza kwa anayefahamu. MIMI nimemaliza DIPLOMA ya ict katika chuo flani ivi cha serikali na kufaulu kwa G.P.A ya 4.0. wakati niko kidato cha sita nilisoma PCB na kupata division 3 ya point 15 lakini nikakosa credit moja ,Hivyo ikanilazimu...
Back
Top Bottom