Nina Tsh 150,000/= tu je, nawezaje kuitumia kama Mtaji Mdogo ili nipate Faida ya haraka hata kama ni kidogo, ila ni ya kila Siku?
Michango yenu nitaishukuru sana tu.
Heshimu Maoni ya Wenzako kama ambavyo yako yanaheshimiwa. You must be a Psychopath Case nakushauri wahi Hospitali ukatibiwe kabla hali haijawa mbaya Kwako. Zingatia sana huu Ushauri wangu tafadhali.
Kama kuna post ambayo ilitakiwa ipate Likes nyingi katika Uzi huu ni hii yako Mkuu kwani Umeandika Ukweli mtupu ila kutokana na Unafiki wetu tunajifanya kama hatujakuelewa. Binafsi nimekuelewa vyema kabisa na nakubaliana nawe kabisa.
Yawezekana ukawa na tatizo Kubwa la Ugonjwa wa Akili ila bado hujaligundua au Watu wako wa karibu hawajakugundua. Tafuta Tiba ya haraka uweze Kupona tafadhali.
Nafurahi sana jinsi Wanasiasa wa Tanzania wanavyotufanya Wapumbavu na kila Uchao tu wanacheza na Akili zetu huku na Sisi kwa Uzuzu Wetu bado tu tunaendelea Kuwafuatilia na Kuwaamini.
Sitarajii kusikia au kuona ukikataa Uteuzi au kwenda Kuapishwa na Mamlaka.
Najua unayoyapitia na Machungu uliyonayo hasa baada ya Kutupwa ila Usigome.
Mamlaka huwa haibishiwi hata kama huipendi na una Bifu nayo ila yakupasa Kuitii.
Yanayokutokea sasa ni Matokeo ya Unafiki wako, Jeuri yako na...
1. Tumeanza kujikomba kwa Wazungu
2. Tumeanza kukopa Kiholela
3. Tumeanza kushirikiana na Mafisadi
4. Tumeanza kuwateua na kuwarudisha Uongozini wale Walioiharibu nchi
5. Dodoma Makao Makuu ya nchi tunakaa Siku 3 tu ila Dar es Salaam, Zanzibar na Angani katika Ndege tunakaa hata Siku 90
6...
Wala huhitaji Akili kubwa kujua kuwa Teuzi hizi zina Baraka na Maelekezo yote kutoka Msoga Chalinze.
Baada ya Kumteua Mwanae Ardhi sasa ameteuliwa mwana Mtandao mwingine hapo NHC ili Chemistry ya Upigaji na kuhakikisha Miradi muhimu ya Mstaafu inaenda kama alivyoipanga.
Nina neno moja tu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.