Hakuna anayeachwa ghafla, hakuna asiyejua kuwa hapendwi ila bahati mbaya sana kwetu, tunaziheshimu zaidi hisia zetu kuliko ishara zao kwetu.
Ukipendwa hutotumia nguvu, usipopendwa utatumia sana nguvu! Iko wazi, heshimu ISHARA
Wanaume kuwapa pesa wanawake haikuwa shida tangu zamani, ilikuwa ni kawaida.
Shida imeanza wanapodhani pesa ni haki yao, wanawake wameacha kuwa na aibu,
Mademu hawaogopi kuomba pesa tena na pia mademu wanafikiri wanaume wanaowapa pesa sana ni wajinga.
So sad!!.
Ukikutana na mwanamke"stranger" kwenye bus or wherever halaf ukawa unatamani kupata namba yake lakini unashindwa namna ya kuanza mazungumzo, wewe mwambie tu "YOU SMELL GOOD" akijibu thanks endelea
"I WISH I COULD BE THE REASON FOR" Then continues
Na ukiona unaeza mnyamazia mpenzi wako na asikulalamikie kwanini umemkalia kimya ujue ANAE MPENZI wake ambae SIO WEWE.
Kulalamika ni ishara ya kujali, kujali ni matokeo ya upendo, kama mwenzi wako anakulalamikia manake anajali kuhusu matendo yako na hiyo ni sababu ANAKUPENDA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.