Sele nadhani ni muhuni tu.maana hamna siku namba yake inapatikana.na page yake ya insta kuna muda inapotea na kurudi.
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Habarini za jioni
Naomba kuuliza kama mtu umenunua nyumba na mkataba wa mauziano ukapotea na waliouziana mmoja amefariki. Je aliye baki(muuzaji)anaweza akaandika affidavit kuthibitisha kuwa aliwauzia walengwa na ikakubalika kama ushahidi?
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.