Kuna haya makampuni makubwa yanayomiliki viwanda na biashara nyingine kubwakubwa yanaleta wahindi nchini kufanya kazi, kwanza hatujui kama wanakuja kihalali au la. Na wakifika makazini wanapewa nafasi za juu, na ikitokea umegoma kumsujudia jua kazi hauna.
Serikali ianze kuwafatilia hawa watu...
Na kama tujuavyo Tanzania ina uhaba wa wanasayansi, ajira zimekua ngumu kwani majority tunasoma masomo ya arts so mzigo unakua mkubwa kwa sekta zisizo za kisayansi. Ni aibu kwa nchi kama Tanzania kutegemea failures kuwa walimu, na hiyo yote ni sababu ya maslahi mabovu katika sekta ya elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.