Recent content by c_alphonce

  1. c_alphonce

    Malezi ya watoto

    Katika ulimwengu wa leo taarifa ndio bidhaa ya bei ya chini. Taarifa zinapatikana kwa bei chee. Watoto wanapata taarifa nyingi lakini ni kazi ya mzazi kuwaeleza usahihi na kuchagua ni katika chanzo gani mtoto akapate taarifa. Ni Mtoto akiwa na hasira na wasiwasi hawezi kujifunza. kifuniko cha...
  2. c_alphonce

    Malezi ya watoto

    Mtoto akiwa na hasira na wasiwasi hawezi kujifunza. kifuniko cha juu cha ubongo Cortex hujifunga katika mazingira ambayo mtoto anawasiwasi na hasira. Kwa hiyo katika hali hiyo hawezi kuelewa Chochote; mtoto hujifunza vema katika nyakati walimu na wazazi wamejenga mazingira rafiki na salama...
  3. c_alphonce

    Nimesikitishwa sana na kifo cha Mhubiri wa Marekani Jimmy Swaggart

    Jimmy Lee Swaggart muhibiri kutoka Nchini Marekani na Mjuzi wa muziki. Nilichelewa kumjua Jimmy Swaggart lakini Punde baada ya kumfahamu uelewa wangu juu ya maandiko Matakatifu, juu ya msalaba na Juu ya wokovu uliabadilika kabisa. Moto wa kuhubiri injili uliwaka ndani yangu. Niliamua kuanza...
  4. c_alphonce

    Wahubiri jifunzeni kwa Jimmy Lee Swaggart

    Jimmy Lee Swaggart muhibiri kutoka Nchini Marekani na Mjuzi wa muziki. Nilichelewa kumjua Jimmy Swaggart lakini Punde baada ya kumfahamu uelewa wangu juu ya maandiko Matakatifu, juu ya msalaba na Juu ya wokovu uliabadilika kabisa. Moto wa kuhubiri injili uliwaka ndani yangu. Niliamua kuanza...
  5. c_alphonce

    Umuhimu wa elimu yetu kuzingatia ubunifu

    Ripoti ya George Land wa NASA 1960 Inawezekana ndio ikawa muarobaini wa matatizo yetu yote kama nchi ambayo msingi wake ni aina ya elimu. Katika utafiti huo George Land aligundua mfumo wa elimu ndio unaua ubunifu kutoka 98% hadi 2%. Ni utafiti ambao waziri wa elimu hapaswi kulala bila kuuwaza...
Back
Top Bottom