Recent content by BWANKU M BWANKU

  1. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Samizi atoa bati 200 kusaidia uezekaji soko la mabamba

    Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Muhambwe leo Tarehe 19 June 2025 amekabidhi Bati 200 Soko la Mabamba lililoezuka Tarehe 8/02/2024 baada ya kuwa lilikuwa limechoka Tangu kujengwa Mwaka 1983. AFISA Mtendaji wa Kata ya Mabamba-Paschal Ngendabanka amekiri kupokea Bati hizo , wakiwepo...
  2. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kikwete akabidhi gari kwa kikundi cha mshikamano cha kata ya Mandera

    Aendelea kuwakumbusha Wananchi wa Chalinze kuchangamkia mikopo inayoendelea kutolewa na Halmashauri hiyo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete Jana Mei 24, 2025 amekabidhi gari kwa kikundi cha Wajasiriamali cha Mshikamano kutoka Kata...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kafulila awaita wananchi kushiriki kongamano kubwa la kujadili mchango wa sekta binafsi kwa Tanzania tuitakayo 2050

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Ubia Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (PPP CENTRE) na Mtaalamu wa Sera za Maendeleo, David Kafulila, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika mjadala wa kihistoria kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) unaotarajiwa kufanyika...
  4. B

    JamiiForums Tanzania PPP na UDSM kujadili mwenendo wa uchumi na nafasi ya sekta binafsi kuelekea Tanzania 2050

    Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) imekuja na Kongamano la Wanazuoni kujadili mwenendo wa uchumi na nafasi ya Sekta Binafsi kuelekea Tanzania 2050. Kongamano hili litafanyika Jumanne tarehe 27/05/2025...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete ateta na uongozi wa kiwanda cha Dangote- Mtwara

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Alhamisi amefanya mazungumzo na Ujumbe wa Kiwanda cha Kutengeneza Cement Cha Dongote kutokea Mtwara walipokuja kumtembea Ofisini Dodoma wakiongozwa na Meneja wa Kiwanda hicho Nchini Bwana Adeyemi...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kikwete atoa taarifa kwa Waziri Mkuu maandalizi mei mosi yamekamilika 100%, Rais Samia mgeni rasmi

    Leo Jumatano Aprili 30, 2025 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu -Ridhiwani Kikwete ametoa taarifa kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ya ukamilifu na utayari wa kilele cha Sherehe za Mei Mosi zinazotarajiwa kufanyika kesho Mei Mosi katika Viwanja vya...
  7. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Samizi asimama bungeni kuuliza swali kupambania ujenzi wa stendi ya kisasa Muhambwe

    Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence Samizi hachoki wala kupumzika kulipambania Jimbo lake ambapo anafanya ziara kila kukicha na Bungeni anapambana kutafuta maendeleo ya Jimbo. Baada ya kufanya ziara kubwa na nzito ya kuzungukia Jimbo na kusikiliza kero za wananchi na...
  8. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge samizi aendelea kuzoa tuzo za pongezi kwenye ziara yake, kata ya Kibondo mjini yamtunuku tena cheti

    Akabidhi Saruji mifuko 150, jezi, mipira, nyavu, shuka na kitanda kwa zahanati, magodoro 30. Mhe. Dkt. Florence George Samizi, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma katika ziara yake Jana Ijumaa Kata ya Kibondo Mjini ametunukiwa Hati ya Pongezi, kutokana na kazi nzuri alizofanya ndani ya...
  9. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Dkt. Samizi Akabidhi Saruji Mufiko 50 na Mabati 79 Shule ya Msingi Kwizera

    Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Florence George Samizi ameendelea na ziara yake Jimboni ambapo Jana Jumatano Aprili 23, 2025 ilikua zamu ya Kata ya Kumwambu. Ndani ya Kumwambu, Mbunge Samizi amekabidhi mifuko 50 ya saruji Shule ya Msingi Kwizera kwa ajili kuunga mkono...
  10. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Samizi atoa bati 30 kwa Wajasiriamali na mifuko 30 ya saruji ujenzi zahanati Nyange

    Atoa Bati 30 kwa Wajasiriamali na mifuko 30 ya saruji ujenzi zahanati Nyange 🗒️JUMATATU 21 APRIL 2025. Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mhe. Dkt. Florence George Samizi, katika ziara yake leo Kata ya Mabamba ya kuwashukuru Viongozi wa CCM Kata, Tawi na Mashina kwa kushiriki vyema uchaguzi wa...
  11. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kishindo cha fainali jimbo cup, mbunge Samizi awaomba wananchi kuiunga mkono CCM na wagombea wake

    KISHINDO CHA FAINALI JIMBO CUP, MBUNGE SAMIZI AWAOMBA WANANCHI KUIUNGA MKONO CCM NA WAGOMBEA WAKE Wananchi wamshukuru Mbunge Samizi kwa alivyo mstari wa mbele kwa michezo na maendeleo. Mhe. Samizi, Mbunge amehutubia maelfu ya wananchi na mashabiki wa Mpira wa miguu wa Kata 19 zilizopo...
  12. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kishoa: Hakuna mtu wa kuweza kuzuia uchaguzi, uchaguzi utakuwepo

    Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Singida ,Mhe Jesca David Kishoa amepinga vikali kampeni ya No Reform No Election inayofanywa na Chama Cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kikishinikiza uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutokufanyika mpaka pale serikali itakapofanya mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi...
  13. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kishoa: Hakuna mtu wa kuweza kuzuia uchaguzi, uchaguzi utakuwepo

    Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Singida ,Mhe Jesca David Kishoa amepinga vikali kampeni ya No Reform No Election inayofanywa na Chama Cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kikishinikiza uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutokufanyika mpaka pale serikali itakapofanya mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awataka mabalozi kuiishi falsafa ya Rais Samia

    Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza diplomasia ya kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali duniani. Mheshimiwa Majaliwa amesema kufanya hivyo kutaiwezesha Tanzania kuvutia...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Kikwete aeleza umuhimu wa mwenge wa uhuru kwa ustawi wa jamii na maendeleo ya taifa

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Mwenge wa Uhuru ni moja ya Tunu kubwa iliyopo kwenye Taifa kwani umekua kichocheo kikubwa cha maendeleo kwenye Taifa ikiwemo kuchochea mapambano dhidi ya ujinga, maradhi na umaskini kila...
Back
Top Bottom