Habari Wakuu,
Hivi wakuu kama umeingia kwenye mahusiano na binti ambaye umetokea kumpenda, katika story za hapa na pale manzi akakuchana kwamba alishawai kushiriki mapenzi kinyume na maumbile je utaweza kumuoa huyo binti ?
Habari wakuu,
Wahenga walisema " Masikini atabaki kuwa Masikini, tajiri ataendelea kuwa tajiri zaidi na zaidi" na Mimi nasema " Tumbo lililo zoea rushwa halishibi kamwe"
Wakuu hii tabia ya CRDB, kukata makato ambayo wateja wake hawaelewi jinsi yanavyo enda. Ni kuwakosea wateja kwa kweli.
Hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.