aliyepata aibu pale mbona anajulikana mkuu!, Na kila anayetumia kichwa kufikiri alijua hili!.Tusipotezeane muda au lengo unichezeshe faulo ndani ya sita?
Watu wa Arusha hawapendi kulalamika na wala mtu anayependa kulalamika,Pale ni action tu.Ukifanya au ikithibitika unaelekea kufanya mambo ya hovyo unadhibitiwa kwanza hapohapo halafu mengine baadae.Lema level nyingine kabisa.
Waliokabakia kubaini rangi halisi ya Lipumba nafasi nyingine hii imewadia kuigundua,Bado kidogo tu nayule mwenzake aliye kwenye fungate ughaibuni ataibuka kivingine pia.The matter of time.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.