Hata Mungu alisema kila amtafutaye kwa bidii atamuona.. Majibu mengi ya maswali magumu ambayo kila binadamu anawaza, either kwa kujiuliza au kumuuliza mwengine ni Mungu ndio anaweza kuyajib.. "ntakuonyesha mambo makuu na magumu usiyoyajua, science ni ya binadamu, ambaye Mungu alisema wanadam...
Ni bora jpm asiwe mwenyekiti wa ccm.. Sio swala la lazma.. Ndio maana hata yeye hajaliongelea.. Lita impare independency yake kwenye shughuli za serikali, maana upo mda mwenyekiti wa.Chama anaweza kufanya lolote kukuza Chama Ama kukilinda.. Tumeona mfano mzur kwa chadema sio lazma mwenyekiti awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.