Sasa ndugu story za kina Thales of Miletus (600 B. C), mvumbuzi wa umeme wa static electricity kama ulisomsa Physics zipo na alikuwepo huyo mtu, sembuse story ya yesu mnazaret ambaye alikuwepo juzi juzi before kina plato socrates ndo zipotee na uanze ku doubt, Yesu alikuwepo na ndo maana hata...
Kuna mdau nilimwambia usilete imani ktk masuala ya ukweli, nikamkumbusha unamkumbuka msemaji wa Iraq alikuwa na mikwara mingi ila wakachapika? Akabisha nikatulia, nikamwambia sawa hao marekani sio wakuwabishia huwa wanatoa tahadhari kisha wanafanya kweli
Unajua kupitia mijadala yenu, imenibidi nifanye utafiti kwann waarabu wakristo hawatumii jina issa ktk bible, nikapata jibu kuwa issa lilikuwa jina geni hivyo wakabaki ni neno Yasu badala ya issa. Ina maana bible za kiarabu ni tongue kuliko quran
Yehova ameahidi huku ukisoma Isaya 40:8, 55:11, waebrania 4:12 na mengine mengi, ameahidi kulinda neno lake milele, then anakuja mtu anakwambia bible imechakachulia ila Allah ameahidi kuilinda quran, ukitumia akili timamu kumuelewa sio rahisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.