Recent content by Bwana Banzi

  1. B

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Sasa ndugu story za kina Thales of Miletus (600 B. C), mvumbuzi wa umeme wa static electricity kama ulisomsa Physics zipo na alikuwepo huyo mtu, sembuse story ya yesu mnazaret ambaye alikuwepo juzi juzi before kina plato socrates ndo zipotee na uanze ku doubt, Yesu alikuwepo na ndo maana hata...
  2. B

    Kulikuwa na wazee wa hizi kazi wawili tu. Saddam Hussein na Osama Bin Laden, Viongozi wa Iran wanachojua ni kupiga domo na kutegemea proxy wars,

    Hata Gadaffi walitumia miez 8 na wiki 3 kumtoa pale Libya, irani imekuwa mapema sana kumuua kiongoz mkuu
  3. B

    50% ya senta za kurusha makombola zimeharibiwa, meli vita 11 zote zimezamishwa, uongozi wa wenye mamlaka makuu umesambaratishwa, iran waombe pooh tu.

    Waluguru tunasema; ba mkude gangwe, kakimbizwa na simba kutoka porini kaja kuliwa mlangoni kwake. Japo kaliwa ba mkude lakin kapambana
  4. B

    Rais wa Marekani Donald Trump aionya Iran!!

    Walitoa onyo kitambo sana
  5. B

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Kuna mdau nilimwambia usilete imani ktk masuala ya ukweli, nikamkumbusha unamkumbuka msemaji wa Iraq alikuwa na mikwara mingi ila wakachapika? Akabisha nikatulia, nikamwambia sawa hao marekani sio wakuwabishia huwa wanatoa tahadhari kisha wanafanya kweli
  6. B

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Tatizo lilianzia hapa: quran 72:1-3, majina wakasema . mungu wetu hana mwana, majini ndo wa mwanzoni kusema hvyo.,badae watu waka wafuata majini
  7. B

    Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Hata ktk bible ipo hvyo ,Kumb 21:23 ,maiti isikae zaidi ya saa 24. Wanaisrael waliambiwa
  8. B

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Unajua kupitia mijadala yenu, imenibidi nifanye utafiti kwann waarabu wakristo hawatumii jina issa ktk bible, nikapata jibu kuwa issa lilikuwa jina geni hivyo wakabaki ni neno Yasu badala ya issa. Ina maana bible za kiarabu ni tongue kuliko quran
  9. B

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Ulisema kila qaumu imepewa kitabu chake, ya muhamad imepewa quran. Sasa kati ya hvyo vitabu na quran kipi kimeanza?
  10. B

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Yehova ameahidi huku ukisoma Isaya 40:8, 55:11, waebrania 4:12 na mengine mengi, ameahidi kulinda neno lake milele, then anakuja mtu anakwambia bible imechakachulia ila Allah ameahidi kuilinda quran, ukitumia akili timamu kumuelewa sio rahisi.
Back
Top Bottom