Recent content by Buzniger

  1. B

    Wanaoishambulia ACT-Wazalendo kujiunga SUK wajiulize kama CHADEMA hawajapokea ruzuku ya Novemba 2020

    Uchaguzi upi ambao unazungumzia bro! Hapakuwa na uchaguzi uhuni tu ulifanyika sasa hiyo second runner yakutokea wapi wakati hapakuwa na uchaguzi? Au ni second runner ya kupokelea Ruzuku. Tehe, tehe, CDM bana
  2. B

    Wanaoishambulia ACT-Wazalendo kujiunga SUK wajiulize kama CHADEMA hawajapokea ruzuku ya Novemba 2020

    Mgao wa pesa za Ruzuku ni zao la hesabu za kura halali tulizopiga so je mnakubali matokeo na mchakato nzima kura au njaa tu inawaponza kupokea pesa haram?
  3. B

    Makundi yafuatayo yanategemewa kumpigia kura mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu

    Ndugu unajua kumfariji mgonjwa. Unaona Kenge linatoka damu za masikio unazani litapona hapo. Tundu mwishowake wa kuropoka ni keshokutwa baada ya hapo kinga ya kumtukana Rais wetu aliyopata miezi miwili itakuwa imekwisha baada ya hapo arudi kwao Ubelgiji.
  4. B

    Magufuli amewaambia wana KARATU kuwa alijenga barabara kilometa 1.5 tu za lami kwa kuwa mwaka 2015 KARATU walichagua upinzani

    Unapenda kiongozi mwenyetabia ya kusema uongo au ukweli? Maana jina lako linaonyesha wewe unajali sana mambo ya tabia?
  5. B

    GE2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

    Sindano imekuingia unabweka, kweli Mayalla wewe umetisha, unaona mapovu yameanza. Jiwe kizani wengi watajitokeza na mapovu.
  6. B

    GE2020 Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu

    Acheni ujinga nyie CDM. Mnafikiri kuna mshabiki yoyote wa CDM ambaye atandika humu JF kwamba JPM atashinda uchaguzi? Hivyohivyo kwa washabiki wa CCM ndani ya JF hawezi kusema CDM itashinda Urais. Sasa mnachotakiwa kukubali ni kwamba muwe wavumilivu kusikia maoni au mawazo ya wapenzi JPM wakitoa...
  7. B

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Mimi napenda sana ambayo yananihusu mengi kayafanya. Nina watoto wangu wawili nilikuwa nawasomesha shule ya kulipia milioni 2 kila mwaka. Lakini Sasa nimewahamishia shule ya serikali natumia laki3 tu kwa kuwagaramia uniform na matumizi binafsi wanapokuwa shule.
  8. B

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Sikiliza ndugu hatakama una Duu niko live hapa na TBC baada ya dakika tano tu Magufuli amekutana na nyomi lingine la wananchi. Yuko njiani anaelekea Babati Mjini. Kwasasa yuko mji wa Magugu. Kwakweli haya ni Mahaba kwelikweli.
  9. B

    GE2020 CHADEMA kuweni makini sana na Uchaguzi huu

    Jamani siyo kwa mahaba haya. Wananchi leo wamemtamkia Magufuli live kwa sauti moja kwamba wanataka atawale miaka 15. Siyo propaganda niko live hapo TBC yuko njiani anaenda kwenyemkutano Babati mjini.
  10. B

    GE2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

    Ukiona Kenge anatoka dam ujue anakalibia kufa. Naona CDM mnavyo haha kwenye mitandao kupeana moto kama vile mgonjwa aliekuwa mahututi mnajifariji
  11. B

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Haya lete maigizo yenu hapa, mnazani JF ni sehemu ya propaganda za kichovu Kama hizi. 28/10/2020 mapema tu asubuhi. Nafuraha Sana baada ya kugundua kwamba tume imetenga kila kituo kuwa na wapiga kura wasiozidi mia tano. Kwa idadi hii nadhani saa6 sita mchana wapiga kura watamaliza shuguli...
  12. B

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Hilo la wauza unga usiliweke that is the way too far. Labda uniambie kuna drugs lod wanashirikiana na Lisu au nimtuwao. Lakini ukweli utabaki palepale Magufuli atafanya wanders katika uchaguzi huu na kuweka historia yake. Leo nimewasikia watu kule Karatu wanaomba kama itawezekana JPM akimaliza...
  13. B

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Unahitaji kuwa na akili za ajabu sana ndio ukawaza kwamba Mbeligiji atashinda mbele ya wabongo.
  14. B

    GE2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

    Let me give you good explanation about veti feki. Hiyo siyo hoja kabisa. Wakifutwa kazi kwasababu ya veti feki elf10 tu. Waliajiliwa ajila mpya serikalini zaidi ya elf20 Sasa unaweza kuona hoja yako inavyojifia yenyewe upo ndugu?
Back
Top Bottom